Asee hii hantavirus baada ya wiki itapita na wengi

Asee hii hantavirus baada ya wiki itapita na wengi

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
2,274
Reaction score
5,204
Huu ugonjwa mpya wa virusi vya panya Hanta Virus baada ya wiki itaondoka na wengi.

Abiria wa KLM inasemekana wengi wanayo na KLM kila siku inatua Kilimanjaro na Dar.

Asee tumekwisha. Niko zangu hapa Ghetto natetemeka balaa isingekuwa msaada wa sigara na ba sijui ingekuwaje yani napanic balaa.

Ishafika bongo na Afrika nauhakika sema nigger ni mbishi ana immune ya kibishi ndio maana we are able to survive in any harsh conditions.

Mungu tusaidie.
 
Hauna tiba?
Hauna tiba wala chanjo. Flight attendant wa KLM kakutwa nayo na abiria wawili wa KLM wamethibitishwa wanayo. Inasemekana hadi huko Spain.

Cape Verde walikataa hiyo meli isitie nanga. Sasa hivi inaelekea Spain kisiwa cha Tanarife wananchi wamepanic wanaiomba serikal7 isiruhusu hiyo meli.

Covid ilianzaga hivihivi. Afadhali covid hii hantavirus ni kuharisha na kukohoa
 
Hauna tiba wala chanjo. Flight attendant wa KLM kakutwa nayo na abiria wawili wa KLM wamethibitishwa wanayo. Inasemekana hadi huko Spain.

Cape Verde walikataa hiyo meli isitie nanga. Sasa hivi inaelekea Spain kisiwa cha Tanarife wananchi wamepanic wanaiomba serikal7 isiruhusu hiyo meli.

Covid ilianzaga hivihivi. Afadhali covid hii hantavirus ni kuharisha na kukohoa
Nayo inaua km covid?
 
Huu ugonjwa mpya wa virusi vya panya Hanta Virus baada ya wiki itaondoka na wengi.

Abiria wa KLM inasemekana wengi wanayo na KLM kila siku inatua Kilimanjaro na Dar.

Asee tumekwisha. Niko zangu hapa Ghetto natetemeka balaa isingekuwa msaada wa sigara na ba sijui ingekuwaje yani napanic balaa.

Ishafika bongo na Afrika nauhakika sema nigger ni mbishi ana immune ya kibishi ndio maana we are able to survive in any harsh conditions.

Mungu tusaidie.
Chai
 
Cuba nying sana ninayo .
Nina funguo zote ...
Na alichopika nakula. Na ndio nimemaliza hapa .
Ila Chakula kile kingne sili leo 😁😁😁😁.
Sio kila siku unakula kula tu. Aagh.
Ebu onja kidogo hicho chakula kingine we ikilewa hupati vibe😃
Au unakunywa brutal 🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Bro, hebu zingatia neno sio Kila siku 😂😂😂😂😂.
M out . Naingia Ikulu sishiki simu kuchat . 😎😎😎😎
Mimi tena bro kweli gambe limekibari 🔥
👋
Au basi mi bro oyaa noma mshikaji ishii👊
 
Back
Top Bottom