Asanteni wana jamii forum,nimeshapata mpenzi wa maisha!

nilishindwa kuingia humu ndani.nilimsindikiza jamaa yangu ukweni kwake tukakuta jamaa za mke wake ni walevi kinoma ili kuua soo ikabidi tujiunge nao kupiga moja moto moja baridi,pombe zenyewe wanazokunywa ni kama ile ya Kanumba imagine na sisi sio walevu halafu tulikuwa ukweni tukachanganya na johnwalker kwa nini jamaa asimkumbatie mama mkwe arifu. pombe mbaya inabidi ninywe kila siku ili kuizoea na kuepuka aibu kama hizi arifu .
We umekaa kuwasindikiza watu ukweni tu,
Mbona kwetu ulikataa kufika kipindi kile?
Halafu mi sipendi mapombe hayo, balaa tupu!
 
We umekaa kuwasindikiza watu ukweni tu,
Mbona kwetu ulikataa kufika kipindi kile?
Halafu mi sipendi mapombe hayo, balaa tupu!

sikuja kwa sababu uncle alisema kuwa majukumu yote kaachiwa na kila kitu nikampa..na mimi sio mnywaji jamani Mwali si ndio maana hata hio pombe yenyewe ikatuzima
 
Last edited by a moderator:
Salaaaaaaam!
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwenu,kwa kazi nzuri ya
kuweza kuweka jukwaa la wapendanao,hatimae na mimi nimempata
mpenzi wa moyo kwa sifa zilezile nilizotoa!
Pia nawashukuru wote walioniPM na kupenda wawe na mimi nao nawashukuru sana,
kwani waliniamini na mimi sina budi kusema aksante kwao,ila pole kwa kuwa
nafasi ilikuwa moja tu isingewezekana kwa wengine japo nao walikuwa
na lengo na nia njema.Mchango wao kwangu utaishi ndani yangu milele.
Special thanks goes to my loving husband to be!
(James!)my love for you is unconditional and promise to love you the same way!
Till Death do us part.
Wishing all the best Jamii FORUM GROUP,coz you deserve the best for your
support,love and hospitality along the way!
With love!
kuna jamaa umemtosa anataka kujiua
kuna jamaa umemtosa
 
Sijui nianze kwa kusema nini lakini kaka Paxman,umenitoa machozi sana
tena machozi ya simanzi kwani pamoja na mimi kukuzidi umri kidogo lakini
una hekima busara na ushauri mzuri sana,
Na mimi dada yako nakuahidi kufuata yote uliyonishauri kwa kuwa yanajenga
na yataenda kujenga ndoa yangu Na Mungu akitangulizwa,
Ni kweli haikuwa kazi rahisi hata kidogo ya kuchuja,tena karibia wote zaidi ya 50
kuwa na sifa sawa na kasi sawa ya ufuatiliwaji.sasa nilichoamua ni kumchagua ,,
mmojawapo mapema iwezekanavyo na kuwekeana mkakati wa maisha ndani ya mwaka
huu kuisha,na bahat nzuri nae alikuwa anahitaji mke menye sifa kama zangu ili aoe
sasa ni ajabu kwa wengine inaonekana kama ni mapema au kwa nini sikuchukua muda
muda mrefu kuwapima na wengine,ni kweli lakini ukumbukwe katika hali ya ubinadamu
jambo hilo ukiliruhusu kwamba kwa wiki nionane na watano,wiki ijayo 6,na kadhalika
ili nimpate mmoja wapo al last I could end up lossing everything including James
who seem to me to be a perfect match,so kwa kutambua binadamu wote hatujakamilika
nilichofanya ni kumkubari mmoja na kuanza mipango kama ya kwenda kupima na
kupanga future ikiwemo kutambulishana kwa ndugu wa karibu na baadae kidogo kwa
wazazi.
Napenda kukushukuru sana wewe pamoja na wengine walionitakia heri,hata wale
walionena tofauti nao nawashukuru,pia nisisitize tu kwamba kwa wengine wakubari
kama kweli nimempata mtu mana mara ya kwanza nilitoa no ya simu kwa walionoPM
sasa pamoja na kuwaaambia kama tayari nimepata hawakubari wakijua sio rahisi
mapema.ila ukweli ndio huo.niPm nitakupa o,ili hatua ikifika karibia na sherehe basi
ukaribishwe hakika wewe ni rafiki mwema,and thanks for your compliment to me.
I assure you to be the honest wife to James and to be loving wife till the end of
time and this is not just like im being too OPTIMIST but this is for sure and we know
what we are doing and go for it!because both of us we share the same history.although
it may be different but due to that we have to be together for the rest of our lives!
This is matter of decision btn us.
Thanks so much,hope we will become friends forever,never let you go!!!

 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sijui nianze kwa kusema nini lakini kaka Paxman,umenitoa machozi sana
tena machozi ya simanzi kwani pamoja na mimi kukuzidi umri kidogo lakini
una hekima busara na ushauri mzuri sana,
Na mimi dada yako nakuahidi kufuata yote uliyonishauri kwa kuwa yanajenga
na yataenda kujenga ndoa yangu Na Mungu akitangulizwa,
Ni kweli haikuwa kazi rahisi hata kidogo ya kuchuja,tena karibia wote zaidi ya 50
kuwa na sifa sawa na kasi sawa ya ufuatiliwaji.sasa nilichoamua ni kumchagua ,,
mmojawapo mapema iwezekanavyo na kuwekeana mkakati wa maisha ndani ya mwaka
huu kuisha,na bahat nzuri nae alikuwa anahitaji mke menye sifa kama zangu ili aoe
sasa ni ajabu kwa wengine inaonekana kama ni mapema au kwa nini sikuchukua muda
muda mrefu kuwapima na wengine,ni kweli lakini ukumbukwe katika hali ya ubinadamu
jambo hilo ukiliruhusu kwamba kwa wiki nionane na watano,wiki ijayo 6,na kadhalika
ili nimpate mmoja wapo al last I could end up lossing everything including James
who seem to me to be a perfect match,so kwa kutambua binadamu wote hatujakamilika
nilichofanya ni kumkubari mmoja na kuanza mipango kama ya kwenda kupima na
kupanga future ikiwemo kutambulishana kwa ndugu wa karibu na baadae kidogo kwa
wazazi.
Napenda kukushukuru sana wewe pamoja na wengine walionitakia heri,hata wale
walionena tofauti nao nawashukuru,pia nisisitize tu kwamba kwa wengine wakubari
kama kweli nimempata mtu mana mara ya kwanza nilitoa no ya simu kwa walionoPM
sasa pamoja na kuwaaambia kama tayari nimepata hawakubari wakijua sio rahisi
mapema.ila ukweli ndio huo.niPm nitakupa o,ili hatua ikifika karibia na sherehe basi
ukaribishwe hakika wewe ni rafiki mwema,and thanks for your compliment to me.
I assure you to be the honest wife to James and to be loving wife till the end of
time and this is not just like im being too OPTIMIST but this is for sure and we know
what we are doing and go for it!because both of us we share the same history.although
it may be different but due to that we have to be together for the rest of our lives!
This is matter of decision btn us.
Thanks so much,hope we will become friends forever,never let you go!!!


Thanks alot!
 
Back
Top Bottom