Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
We umekaa kuwasindikiza watu ukweni tu,nilishindwa kuingia humu ndani.nilimsindikiza jamaa yangu ukweni kwake tukakuta jamaa za mke wake ni walevi kinoma ili kuua soo ikabidi tujiunge nao kupiga moja moto moja baridi,pombe zenyewe wanazokunywa ni kama ile ya Kanumba imagine na sisi sio walevu halafu tulikuwa ukweni tukachanganya na johnwalker kwa nini jamaa asimkumbatie mama mkwe arifu. pombe mbaya inabidi ninywe kila siku ili kuizoea na kuepuka aibu kama hizi arifu .
Mbona kwetu ulikataa kufika kipindi kile?
Halafu mi sipendi mapombe hayo, balaa tupu!