Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Wakati najiandaa kupost kuhusiana na kinywaji ch mountain dew,nikagundua kuna makala yenye kufanana nayo hivyo nimeamua kuunganisha hapa.Taarifa ambazo hazijadhibitishwa ni kwamba Mountain Dew ni kampuni binafsi ambayo imeamua kuingia ubia na pepsi ili kupata soko kirahisi hapa nchini.Habari zaidi ni kwamba kampuni hii ilianzia kule Uganda na baadaye Kenya,lakini katika nchi hizo zote kinywaji hicho kilipigwa marufuku.Inasemekana kuwa kinywaji hiki kina athari kubwa sana kwa sababu ya sukari nyingi kupita kiasi,na kuwa na madhara kwa wanaume katika mambo ya mapenzi.Mimi mwenyewe kwa kuwa si mnywaji wa pombe,nilibugia chupa za kutosha za kinywaji hiki weekend kabla ya mdogo wangu aliyesoma Uganda kunitonya kuhusiana na athari zake.
Pamoja na hayo inashangaza ni kwa jinsi gani TBS isivyo makini kwa afya za watanzania.Kwakuwa lengo langu ni kuokoa maisha ya watanzania,habati hii isichukuliwe kama ukweli usiopingika,badala yake mwenye ukweli au taarifa toafauti atujuze.
Wakati najiandaa kupost kuhusiana na kinywaji ch mountain dew,nikagundua kuna makala yenye kufanana nayo hivyo nimeamua kuunganisha hapa.Taarifa ambazo hazijadhibitishwa ni kwamba Mountain Dew ni kampuni binafsi ambayo imeamua kuingia ubia na pepsi ili kupata soko kirahisi hapa nchini.Habari zaidi ni kwamba kampuni hii ilianzia kule Uganda na baadaye Kenya,lakini katika nchi hizo zote kinywaji hicho kilipigwa marufuku.Inasemekana kuwa kinywaji hiki kina athari kubwa sana kwa sababu ya sukari nyingi kupita kiasi,na kuwa na madhara kwa wanaume katika mambo ya mapenzi.Mimi mwenyewe kwa kuwa si mnywaji wa pombe,nilibugia chupa za kutosha za kinywaji hiki weekend kabla ya mdogo wangu aliyesoma Uganda kunitonya kuhusiana na athari zake.
Pamoja na hayo inashangaza ni kwa jinsi gani TBS isivyo makini kwa afya za watanzania.Kwakuwa lengo langu ni kuokoa maisha ya watanzania,habati hii isichukuliwe kama ukweli usiopingika,badala yake mwenye ukweli au taarifa toafauti atujuze.