Asanteni Crew nzima ya wana Arusha-Wing....narejea Dar.

Asanteni Crew nzima ya wana Arusha-Wing....narejea Dar.

Madame B

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
31,832
Reaction score
37,437
Nimewapenda sana kwa jinsi mlivyo na msimamo na Wing yenu.
Hakika nimejifunza vitu vingi toka kwenu.

Mzee wa Rula, PakaJimmy, Arushaone, Philipo, Tonykp, LiverpoolFC, mkiva... Preta, @Blakiwomani, Cantalisia, Lily Flower......nawapenda sanaaa.
IGWE....ulikuwa na haraka ya nini bhanaaaa!!!!

Nimepapenda sana The Narok.
Live Band.....tulikula na kula kwa furaha.
Nawapenda sana.
TUTAKUTANA SAFARINI MWANZA.
Mmmwwwahhhhhh....!!!!!!!

mkiva.....miss sana wewe.

.... nawapenda sanaaaa.
 
Kwani dada wewe hukuwa na mumeo? unakubalije mume aende na wengine oooooooooh! mjini hapa wasipokuja na mlango wa mbele watakuja na mlango wa nyuma kuwa mwangalifu na mumeo

mdogo wangu nimepata safari nje ya mkoa mwenzio, ila namuamini shemejio hawezi nitenda
 
sio ya mchezo.........Chugga tunatisha........

Hebu niondolee misifa camp mie! Tangu lini mtoto mrembo akamtisha mtu? Binti mijicho remburembu utishe marijali !
Fanya unipe bei ya ndizi-mshale za hapo Ar mkungu shiing'ngapi siku mbili hizi ?
 
Back
Top Bottom