Asante!!!

Hata ulivyotoa sehemu ya 7 kwenye zawadi mimi nilisema asante, umeshaweka sehemu ya 8?
 
Nadhani nianze mimi kwa kusomeka.
Asante kwa kunisoma AJ.

Oh!! You are so Kind .. Thanks for That! was just Joking!! Lol ..

.. Vema umeanza wewe .. ungeniambie nianze mimi, Looh ..ungeona msimamo wangu!! Lo! ungeishia kusema mfumo dume!!
 
oohh kumbe i wasnt wrong,nilikuwa na tabia ya kusemaga asante ila hubby alikuwa hapendagi ilikuwaga tukitoka mahali labda restaurant nikisema asante ilikuwa inaleta tabu hadi nikajikuta nimeacha,,,loo i wish aone hii sred naye ajifunze lol
 
Hivi nini jibu la asante.....

Inategemea na hiyo asante unapewa kwaajili gani.
Kama ni kwa kitu ambacho nawe kimekufaidisha unasema "asante nawe pia" kama ni favour umemfanyia mtu unaweza kumjibu kwa "asijali" au "karibu" kama wanavyosema kwa kimombo "don't worry about it, don't mention it, no worries, you are welcome" etc.
 
Hata ulivyotoa sehemu ya 7 kwenye zawadi mimi nilisema asante, umeshaweka sehemu ya 8?

Hahahha, Ram we ni mtoaji mzuri wa asante.
Ila bado sijapata muda wakuandika, ntajitahidi lakini.
 
Oh!! You are so Kind .. Thanks for That! was just Joking!! Lol ..

.. Vema umeanza wewe .. ungeniambie nianze mimi, Looh ..ungeona msimamo wangu!! Lo! ungeishia kusema mfumo dume!!
Haahaha ina maana ungekataa? Au ndio ungesema "mwanaume hashukuru" ???
 
oohh kumbe i wasnt wrong,nilikuwa na tabia ya kusemaga asante ila hubby alikuwa hapendagi ilikuwaga tukitoka mahali labda restaurant nikisema asante ilikuwa inaleta tabu hadi nikajikuta nimeacha,,,loo i wish aone hii sred naye ajifunze lol

Yani hapendi kushukuriwa au hapendi kushukuru tu kwa ujumla?
 
Mimi huwa nashukuru hata pale ninapo kwenda Restaurant na mshukuru muhudumu kwa huduma aliyonipatia hata dereva wa teksi, daladala na hata muuza mihogo pia namshuru kwa huduma yake. thanks na sorry zina maana kubwa mno ila Watanganyika wengi hawajui na wanadharau sana. Na ukitaka kujuwa kuwa wanadharau nenda Bar ujione mwenyewe jinsi muhudumu wa Bar anavyodhalilishwa. Ustaarabu Watanganyika ZERO kabsaaaaaaa
hug.gif
 
Inategemea na hiyo asante unapewa kwaajili gani.
Kama ni kwa kitu ambacho nawe kimekufaidisha unasema "asante nawe pia" kama ni favour umemfanyia mtu unaweza kumjibu kwa "asijali" au "karibu" kama wanavyosema kwa kimombo "don't worry about it, don't mention it, no worries, you are welcome" etc.

Nakubali hiyo bluu.....ila nadhani hizo tafsiri za kiingereza sio sawa....
Asante kwa uzi huu.....
 
Back
Top Bottom