Lizzy Asante sana kwa kunikubusha kuhusu nguvu iliyobebwa na neno ASANTE! Real THANKS!!!
Ina maana we umezungukwa na mtu mmoja anaestahili asante yako?
yeye ndo center ya gravity
Hehehehe, nikusifie wakati sio wewe uliyetoa asante?Na wewe hua unakumbuka kumshukuru?
Kongosho here you come again... na.. nguvu yote lazima kuelekezwa hapo!!Lol!
inategemea kajishughulisha kiasi gani!
AJ asante nawe pia.
Baba Enock ukiishi kinafiki kila kitu utaona ni unafiki.
Nini haswa kinakufanya uamini asante inatolewa kinafiki?Kwani huyo anaepewa anakua hastahili?
Mkwe asante...........umenikumbusha nilikwenda kwa rafiki yangu nikawakuta wanakula alipomaliza kula hakusema asante kwa dada (wa kazi) nilipomwambie kwa nini hakusema asante akasema ya nini daaah mara nyingi tunaona hawastaili kupewa asante lakini kwa kufanya hivyo inamfanya hata dada kuona anathamani kwenye familia. watoto wanapoona unatoa asante kwa dada wanamjali na kujifunza kutoa asante kwa wengine. jambo zuri kutoa asante/shikuru kwa kila kitu
Asante mwaya,yani ktk watu nawathamini ni hawa wasaidizi coz hata uhai wangu wanao wao wakiamua kunimaliza ndio basi tena!!!Endelea hivyo hivyo mwaya siku moja asije akajifanya haelekei huko au hata akatemea chakula chako mate akilazimika kukuletea.
Bila gravity si wote tungeanguka God knows where?
jeuri yoote tulionayo sababu gravity inahusu.
hujambo lakini?
AJ nipo via mobile siwezi kuquote post zaidi ya moja at once na mimi nilitaka kuua ndege wawili kwa jiwe moja ndo maana nikamuunganishia hapo kwako.
Kongosho,sema basi polepole,siku hizi wanetu wanaingia humu,hasa mmu!Jamani wakati mwingine tunakuwa na nia ya kujishughulisha ila mara umeme unazima pwah, nikikimbilia kituo cha mafuta kuna mgomo.
basi ndo inabidi tuwaache mhangaike nalo hilo goma la wazee
Kbd wala wewe sio mwenye tatizo, wenye matatizo ni hao wanaoshindwa kutoa hata asante ya mdomo kwa wema unaowatendea.Yaani mi ninavyoimind asante sipati kukwambia. Ikitokea nimemsaidia mtu halafu hajasema asante roho uwa inaniuma kweli, sijui ninamatatizo gani. Mi huwa nazitoa sana hata mtu akinipigia tu namshukuru kwa kufanya hivyo.