Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,466
Vodacom wanatafuna MB hadi sio poa
Alooh Kumbe hivyo, Ninayo Alaf ndio kwanza Mpya babeq Na dial ngapi MkuuMkuu ingia kwenye menu kama una voda,nimeshafanya hivyo!
Tupe michongo yao ipoje huko
*149*01# then 3.Bando Mpya then 2.Internet then 2 tenaAlooh Kumbe hivyo, Ninayo Alaf ndio kwanza Mpya babeq Na dial ngapi Mkuu
Ttcl wanatoa Huduma za kifedha ??Watu tushakimbilia TTCL kitambo sana hiyo 2500 unapata GB3 kwa wiki then hiishi haraka si kama yao ukiwasha tu data mb zinaporomoka vbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Nyumbani kumenoga
Ni kweliKweli Nyumbani kumenoga
Lakini Vitu vingi vinavyosimamiwa na Serikali Magumashi Sana
Bado wezi tuKweli Nyumbani kumenoga
Lakini Vitu vingi vinavyosimamiwa na Serikali Magumashi Sana
YAJAYO YANAFURAHISHA- Ndiyo maana wengine tumekuwa watumiaji wa mtandao huu karibu miongo 2
Hawa jamaa sijui wanahudumia watanzania wa aina gani,ttcl GB 5 elfu tano mwezi mzima.
Mkuu inaonekana hujatumia haloteli wewe, ina bundles za bei yakueleweka na zinadumu