boris maganga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 382
- 374
Ni kwa siku Wamesema
Ni siku tatu bwanaNi kwa siku Wamesema
Yani eti 2500 unapata 3Gb Per Day
Aloooh
Hembu Rudia soma Vizuri bwanaa
Mleta mada kakosea,kwenye menu ni siku 3!Hembu Rudia soma Vizuri bwanaa
Ukiingia kichwa kichwa 500 ni mb 80!Kwenye 500 nafuu kidoogo hata hivyo wafike angalaaau 300mb
bado hamna kitu hapo, hiyo 20GB ingekua bando ya mwezi ningerudi voda. BTW vifurushi vya voda hua vinaisha kwa kasi ya 5G usidanganyike.
2500 ni siku 3 so ni 25000 a month!Wanacheza na akili za nani? 500x30days=15,000; 2,500x30days=75,000
Halotel ongeza minara.
Kakoseaje Wakat ni Screenshot hiyoMleta mada kakosea,kwenye menu ni siku 3!
Mkuu ingia kwenye menu kama una voda,nimeshafanya hivyo!Kakoseaje Wakat ni Screenshot hiyo