Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,867
- 3,618
Yaani hadi leo hujachukua halotel royal? Ni 10,000 mwezi mzima,unlimited,njoo chap!!Unaweza kuunga hizo GB 3 kabla hujapiga bao la kwanza unaambiwa zimeisha.
Voda ni hatari sana...mm nimeamua kutumia halotel 7GB kwa sh 5,000 siku 7
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1363345
Kwangu ipo ivyo.......napenda bundles za voda maana zinakaa,airtel,Tigo na halotel zinatoa MB nyingi ila unaweza kuwa na GB 3 hao wengine,ila zinaisha Kama upepo na kuyeyuka tu......ila vodacom zinaenda kihalali
Yaani hadi leo hujachukua halotel royal? Ni 10,000 mwezi mzima,unlimited,njoo chap!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ndyo madudu ya serikali yetu.....hawajielewi kbsa, ili kukidhi ushindani wao wangejiweka pembeni na kubaki km main supplier.Mkuu kutakuwa na makosa makubwa sana kama ndiyo hivyo. Chukulia mfano TBL amuuzie main distributor bei yake,then amuuzie tena final consumer bei ya chini kabisa. Distributor atafanya biashara kweli