Mkuu mimi utamu wa mitandao naupata kupitia mtandao mpya wa BOL. Nikiweka 5000 nasahau kabisa mambo ya vocha. Jaribu uone. Internet inakua free mwezi mzima.
Voda walichonifanya leo sitowasahau kamwe! Wangese sana
KARIBU SANA @TSH 999/= U get 40 min to all netwek, 1000 msgs na 300MB MUNGU AKUPE NINI, WAKATI WALE WASE NGE A@600 inapata dk 15 za vodacom tu na sekunde 52 to other netwek plus 100MB huu si ushenz huuu
mkuu hii ngumu maana kuna wale jamaa sijui wanitwa maporosoooo au maprosoooo au....aaaghWanafaa kupigwa chini maana wanataka kuleta yale yale ya kukaa na simu ya kila mtandao!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
...aaah! aaah! aaah!...mod tunaomba mwongozo wako,hili neno "Wangese" ni jipya na sidhani kama sheri za JF ziwaruhusu wanajamvi kutumia maneno ya kiswahili nje ya kamausi halali inayotambulika na baraza la kiswahili Tanzania...
Na ukipiga mara network fail, mara not reachable, mara haiiti unashangaa imekata kimyakimya... modem zao nazo ndo usiseme sasahiv...hii kitu ya msg inakera unaweza poteza dili ya maana
*149*99#Unajiungaje?mimi nilipewa eti nipige namba fulani na hao hao airtel nilivyoipiga naambiwa haipatikani!Michisho tu hii mitandao hata hakuna cha baba la nani sijui
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums