Asante "tamwa"

Digaller

JF-Expert Member
Oct 20, 2009
745
427
Katika hali inayoonekana ni upendo wa khali ya JUU, nilikata rufaa baada ya "Lizzy" kukataa ombi langu, asanteni TAMWA kwani lile lengo langu la kujiua nimelisitisha kwa sababu ya ushauri wenu kwangu. LD kama unataka kuwa na mimi tafadhari usiwe na wivu kila ntakapokutana na "LIZZY" kuz ntashindwa kumwonyesha hisia zangu kwake. Asanteni TAMWA asanteni JF nimerudi kulijenga TAIFA....!!?
 
Gbollin you need help bro kama upo Dar pale Muhimbili psychiatry wanafanya canselling kila j4 na ijumaa wahi asubuhi kupata nafasi watakusaidia kwenye hili swala la obsession.
 
Gbollin you need help bro kama upo Dar pale Muhimbili psychiatry wanafanya canselling kila j4 na ijumaa wahi asubuhi kupata nafasi watakusaidia kwenye hili swala la obsession.

Hahhahhahahha.....Best advice ever!!!:amen:
GB afadhali umesitisha uamuzi wako!!!Jamvi halikua tayari kukupoteza!!!!:smile-big:
 
Gbollin you need help bro kama upo Dar pale Muhimbili psychiatry wanafanya canselling kila j4 na ijumaa wahi asubuhi kupata nafasi watakusaidia kwenye hili swala la obsession.
she's a retard
 
Hata hivo nimeghairi, nia yangu ilikuwa ni kukuokoa usijinyonge/jiue, kwa sababu hilo limefanikiwa basi naendelea na maisha yangu kama yalivokuwa.
 
Hata hivo nimeghairi, nia yangu ilikuwa ni kukuokoa usijinyonge/jiue, kwa sababu hilo limefanikiwa basi naendelea na maisha yangu kama yalivokuwa.
Hahaha! LD acha usanii bana kasitisha kujinyonga baada ya wewe kumhakikishia kumliwaza sasa ukijitoa si tutarudi palepale na kamba nimesikia hajaitupa bado lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom