Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Katika hali inayoonekana ni upendo wa khali ya JUU, nilikata rufaa baada ya "Lizzy" kukataa ombi langu, asanteni TAMWA kwani lile lengo langu la kujiua nimelisitisha kwa sababu ya ushauri wenu kwangu. LD kama unataka kuwa na mimi tafadhari usiwe na wivu kila ntakapokutana na "LIZZY" kuz ntashindwa kumwonyesha hisia zangu kwake. Asanteni TAMWA asanteni JF nimerudi kulijenga TAIFA....!!?