Asante Mungu leo nimewahama Rasmi NBC

Asante Mungu leo nimewahama Rasmi NBC

Aisee Mkuu hii CRDB wanajitahidi Sana kila uchao wanaleta Huduma mpya na kuboresha...

Hii internet banking...Sim banking ni mkombozi mkubwa kwetu tulio busy na kazi...

CRDB....EXIM....KCB..BOA bank ni chaguo sahihi

Online banking hapo CRDB inapatikanaje?

Kuna kujaza mifomu au ukishakuwa na akaunti ni kiasi cha kwenda tu kwenye tovuti yao na ku-sign-up kama ilivyo huku kwingine?
 
Ulipotoa pesa zako NBC walikupa hundi ama pesa taslimu?

Na kufungua akaunti hapo CRDB ilichukua muda gani?

Mpango wa hundi niliwakatalia maana inaweza kuleta usumbufu, niliamua kuchukua madafu yenyewe na kuyabeba kupeleka CRDB.
Kufungua Account CRDB mradi una kitambulisho kinachotambulika kitaifa si zaidi ya saa moja mambo yameshakuwa poa. Ila account number watakutumia kwenye simu au email, ukitaka unaweza kwenda kuchukua, Inachukua siku moja au mbili to process account na kupata account #. Lakini pesa utaziweka kwenye bank wanakupa account ya muda ambayo kesho yake wanahamishia kwenye account yako mpya. Hayo nilifanyiwa miaka miwili iliyopita, inawezekana kwa sasa ni haraka zaidi.
 
Online banking hapo CRDB inapatikanaje?

Kuna kujaza mifomu au ukishakuwa na akaunti ni kiasi cha kwenda tu kwenye tovuti yao na ku-sign-up kama ilivyo huku kwingine?

Unapofungua account mpya hakuna tofauti kama wafanyavyo Marekani online banking, maana information zote utawapa, email, users name na uta-create password. Hakuna tofauti na wafanyavyo Marekani.
 
NBC kwa online transaction paypal haigomi hata siku siku moja smooth CRDB hooovyo ile mbaya kila suku mara napiga simu huduma imezuiwa why ??? network mbovu jaribu baadae. I will keep my NBC card
 
Online banking hapo CRDB inapatikanaje?

Kuna kujaza mifomu au ukishakuwa na akaunti ni kiasi cha kwenda tu kwenye tovuti yao na ku-sign-up kama ilivyo huku kwingine?


Internet banking mi nilienda kwao wakanisaidia Ku subscribe wenyewe coz nilitaka iwe na uwezo wakufanya online transactions....

Hata nikiwa NY now naweza pata access ya acc yangu via internet banking bila tabu....
 
Unapofungua account mpya hakuna tofauti kama wafanyavyo Marekani online banking, maana information zote utawapa, email, users name na uta-create password. Hakuna tofauti na wafanyavyo Marekani.

Basi hiyo ni bab kubwa.

NBC hadi uombe eti!

Unajaza lifomu lao halafu unampa mhusika. Mhusika anakwambia watakutaarifu baada ya wiki mbili.

Wiki mbili maana yake ndo hakuna cha online banking wala nini. Hakuna atakayewasiliana nawe.

Kwa hiyo utasubiri weeee hadi unaishia kukata tamaa tu.
 
Internet banking mi nilienda kwao wakanisaidia Ku subscribe wenyewe coz nilitaka iwe na uwezo wakufanya online transactions....

Hata nikiwa NY now naweza pata access ya acc yangu via internet banking bila tabu....

Huku kwingine unachotakiwa ni kuwa na akaunti tu, basi.

Ku sign up online unafanya mwenyewe na unapata huduma karibu zote...kuanzia ku-order check books, kadi mpya (unaweza kuchagua hadi theme ya kadi kama unataka...mi kadi zangu zina nembo ya timu yangu ya NFL), unaweza uka set travel notice, uka set overdraft protection, unaweza uka report fraud, unaweza ukafungua akaunti mpya, unaweza ukafanya money transfers, na mengineyo mengi tu.

Nina miaka 8 sasa sijakanyaga ndani ya jengo la benki! Hata nikitaka cash naenda tu kwenye drive-up ATM....teh teh teh.....sishuki toka kwenye gari wala nini:usa2:
 
Huku kwingine unachotakiwa ni kuwa na akaunti tu, basi.

Ku sign up online unafanya mwenyewe na unapata huduma karibu zote...kuanzia ku-order check books, kadi mpya (unaweza kuchagua hadi theme ya kadi kama unataka...mi kadi zangu zina nembo ya timu yangu ya NFL), unaweza uka set travel notice, uka set overdraft protection, unaweza uka report fraud, unaweza ukafungua akaunti mpya, unaweza ukafanya money transfers, na mengineyo mengi tu.

Nina miaka 8 sasa sijakanyaga ndani ya jengo la benki! Hata nikitaka cash naenda tu kwenye drive-up ATM....teh teh teh.....sishuki toka kwenye gari wala nini:usa2:


Kwa hapa bongo ndo wanajikongoja japo twaona nafuu...

Mfano hao KCB na EXIM wapo kisasa Sana isipokuwa hazina mtandao mpana bongo...

Ila kwa case ya NBC ni Mara 1000 ujiunge CRDB
 
Ufunguaji account mpya ni kitambulisho chako kama passport, leseni ya udereva, kitambulisho cha taifa, kama huna basi utatakiwa uwe na barua ya mwenyekiti wa serikali za mitaa. Tofauti huku NBC unahenyeshwa kama si raia na vitambulisho haikubaliki mpaka barua ya mwenyekiti serikali za mitaa na pengine wakudai pia notary mahakamani.

Sijui kwa siku za karibuni lakini hao CRDB zamani walikuwa wananikera sana na kile kipengele chao cha kuwa na mdhamini ambaye ni mteja wa CRDB pindi unapotaka kufungua akaunti CRDB.

Pia kwenye matawi yao hususani hapo Dar es Salaam, huwa yanajaza sana wateja kiasi kwamba inakubidi usubiri sana kupata huduma. Kuna matawi sugu kwa kuwa na watu wengi haswa yale ya mjini kati kama Holland, Azikiwe na pia pale PPF Tower...Mlimani City ndio usikaribie kabisa maana hadi kwa ATM mshine kuna msururu utadhani enzi za kununua Yanga yanga....

Hata hivyo kwa sasa mji kama wa Dar es Salaam una mabenki mengi tu yenye huduma zisizo na usumbufu zenye kujali muda pia. Pengine alternative hiyo ya CRDB ni muafaka kwa wale watumiaji wa huduma za mabenki walio nje ya Dar...
 
Ila umatumbini kwetu nuksi sana mkuu...

By then wakati ndio ATM zinaanza kuwa installed, na watu kuanza kuzitumia basi kulizuka ujambazi wa kubomoa vibanda vya ATM....imebidi ziwe zinalindwa sasa.

Halafu pia nashangaa Bongo nzima sijawahi kuona Deposit Friendly ATM's, sijui kama kuna benki ina hii kitu aisee...


Ku sign up online unafanya mwenyewe na unapata huduma karibu zote...kuanzia ku-order check books, kadi mpya (unaweza kuchagua hadi theme ya kadi kama unataka...mi kadi zangu zina nembo ya timu yangu ya NFL), unaweza uka set travel notice, uka set overdraft protection, unaweza uka report fraud, unaweza ukafungua akaunti mpya, unaweza ukafanya money transfers, na mengineyo mengi tu.

Nina miaka 8 sasa sijakanyaga ndani ya jengo la benki! Hata nikitaka cash naenda tu kwenye drive-up ATM....teh teh teh.....sishuki toka kwenye gari wala nini:usa2:
 
Crdb walikuwa na hiyo deposit kwenye atm nadhani holland branch? Hebu waulizie.

Mtu akisema anatumia nbc huwa nashangaa tu kimoyomoyo. Visa card master card ya crdb unalipia kwenye maduka na mahoteli nchini na nje ya nchi. Na ukitaka kudraw hela nje ya nchi unaenda atm yoyote tu. Nbc hawana hiyo huduma, unaishia kukumbana na exchange rates za ajabu na sijui commision huko.
Ila umatumbini kwetu nuksi sana mkuu...

By then wakati ndio ATM zinaanza kuwa installed, na watu kuanza kuzitumia basi kulizuka ujambazi wa kubomoa vibanda vya ATM....imebidi ziwe zinalindwa sasa.

Halafu pia nashangaa Bongo nzima sijawahi kuona Deposit Friendly ATM's, sijui kama kuna benki ina hii kitu aisee...
 
Halafu pia nashangaa Bongo nzima sijawahi kuona Deposit Friendly ATM's, sijui kama kuna benki ina hii kitu aisee...

CRDB walikuwa nayo wakasitisha kwakuwa bandwith waliyokuwa nayo isingeweza ku accomodate wateja wengi na waliiacha pale Azikiwe kama Pilot badae wakasitisha.

Sasa hivi wako na Baba lao TTCL kupitia Mkongo wa Taifa sina shaka watarudisha tu huduma
 
Crdb walikuwa na hiyo deposit kwenye atm nadhani holland branch? Hebu waulizie.

Mtu akisema anatumia nbc huwa nashangaa tu kimoyomoyo. Visa card master card ya crdb unalipia kwenye maduka na mahoteli nchini na nje ya nchi. Na ukitaka kudraw hela nje ya nchi unaenda atm yoyote tu. Nbc hawana hiyo huduma, unaishia kukumbana na exchange rates za ajabu na sijui commision huko.

Maskini NBC yangu! Ndo basi tena nimeikimbia
 
Halafu pia nashangaa Bongo nzima sijawahi kuona Deposit Friendly ATM's, sijui kama kuna benki ina hii kitu aisee...

Oh yeah...hizo deposit ATMs na hata zile talking ATMs ni bomba sana maana waweza deposit checks au cash. Ukiingiza check inasomwa na image reader halafu inaonekana kwenye kioo (screen), unathibitisha kila kitu kama kiko sawa kabla ya kuendelea na muamala wako.

Ukimaliza unaulizwa unatakaje risiti yako - Email Only, Print Only, Email & Print and No Receipt. Unaamua mwenyewe halafu unasepa zako.
 
Hahaha le mutuz alishawahi kuisuta mitandaoni hadi wakawaita na kukaa nao mezani. Manake naskia wanasumbua balaa

Mkuu we NBC isikie hivyo hivyo. Nina kademu kangu ni staff wa NBC hapa Moro kila siku anafanya application kwenye benki zingine. Anasema staff wamekuwa demoralized totaly. Makampuni makubwa wameanza kujiondoa NBC. Mimi ninafahamu mazungumzo ya vikao vya juu vya TTCL kutaka kufunga expenditure and collection account all together kwa sababu ya ujinga wao NBC
 
Visa card master card ya crdb unalipia kwenye maduka na mahoteli nchini na nje ya nchi. Na ukitaka kudraw hela nje ya nchi unaenda atm yoyote tu. Nbc hawana hiyo huduma, unaishia kukumbana na exchange rates za ajabu na sijui commision huko.

Hapana, hapo umekosea kabisa. Na licha ya kwamba siipendi NBC lakini kwenye hilo nitawatetea.

Kadi za NBC hata nje ya nchi zinafanya kazi ili mradi ziwe tu na nembo za Visa/ MasterCard na kama unatoa hela kwenye ATM basi nayo iwe na nembo za hayo makampuni mawili na utaweza kutumia kadi yako bila adha yoyote ile.

Hata kwenye gas stations, kwenye gas pump zinafanya kazi kama kawaida.

Na hilo nalijua kwa uhakika kabisa kwa sababu mimi ni mteja wa NBC na mara kwa mara huwa naitumia kadi yao (well, kabla hawajaifungia akaunti yangu wakinidai niende kuhakiki taarifa zangu).

Najua wengi hatuipendi hiyo benki lakini si mbaya kiviiiiile kiasi hata cha kadi zao zisiweze kutumika nje ya nchi.

Watendee haki bana aaah!
 
Back
Top Bottom