NBC ipo kwenye financial distress sku nying sana....toka 2012s mpaka leo bado inajikongoja kutokana na hasara kubwa walioipata kutokana na ma loan officers kukopesha beyond limit na kutofata lending principle and procedures kwa kukopesha watu wasio na sifa na marafiki....pamoja na kuingiliwa n wanasiasa...so BOT waliamua kui bailout ili kuiokoa na kufiliasika ndo had saiv bado ipo inarecover....Ila kwa jinsi wateja wanavyolalamika,sithan kama hii itakua na future.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.