Ndoa ni tamu kama utakutana na mwenza anayetambua majukumu yake na kutimiza wajibu wake,hutaichoka ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
hayo majibishano ndio tofauti huyo alisema wanaishi kwa furaha nikauliza kama ni masaa 24 kwa siku zote saba wanaishi kwa amani kitu anbacho hakiwezekani
the same to me,sina muda mref sana kwenye ndoa lakini alhamdulillah bado sjauona huo ugumu wa ndoa misunderstandings zinatokea za hapa na pale sasa vile tunaishi nazo ndio hutufanya tuione ndoa ni tam
Ni wivu tu sio umesema ukweli...
Wewe kama umekutana na mtu wa hovyo usifikiri ni watu wote acheni kukariri maisha pambana na gume gume lako
Nje huku kuna wanaume bora na wanawake bora pia
Sent from my iPhone using JamiiForums




Ukitaka ujue ndoa za wengi zinapumulia mashine basi ongelea mambo mazuri mazuri ya ndoa uone comnents
Mtoa mada nikusifu wewe kwa kuwa KICHWA cha familia, hawa mikia achana nao maana waliingia ndoa na akili hawana wamebaki kulia lia tu. Endelea kuwa kichwa cha familia.
Dishi limeyumba kidogoHabari ya Jumatatu wana ndugu wote.
Niaze na kumshukuru mungu kwa afya njema alio nijalia neema hii. Pia nimshukuru M/Mungu kwa kunipa mke bora na sio bora mke.
Kiukweli wanawake wanamapungu mengi lakini sio wote. Wapo ambao wanajitambua na kujielewa kama ambavyo wanaume walivyo. Kuishi na mwanamke kunahitaji HEKIMA, BUSARA, NA USTAMILIVU. Ukiwa hivyo utaishi nae kwa wema na amani upendo utaongezeka. Kiukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake wenye upeo na busara kubwa, kiasi ambapo najivunia kua nae. Amekua na mchango mkubwa ktk maisha yetu.
Kiukweli sijawahi kugombana naye wala kumuhisi chochote, amekuwa ni mtu makini, anayetumia busara kubwa katika maamuzi yake. Amekua mcheshi mno , mwenye tabasam kila nikimuona nahisi furaha sana. Pia nami najisifia kwa kuweza kumuendo mke wangu, na kumfanya awe bora.
Tatizo la sisi wa baba tunapo kuwa katika maisha ya ndoa hua tunatumia mfumo dume, mfumo kandamizi, mabavu. Hali hii inafanya wamama kujiona vijakazi mwishowe nao hufanya watakavyo kwa kukosa busara, hekima kwa wanaume wao.
M/Mungu alituagiza tuishi nao kwa akili, alikuwa anajua wao ni watu wa kuelekezwa bila ukali, watu wa kuwapa nafasi nao watoe maoni yao. Na hata ukiwapinga basi tumia akili kumpinga na fosi, nguvu wara kejeri.
ASANTE MKE WANGU KWA KUNIPA WATOTO, ASANTE MKE WANGU KWA KUNIJENGEA HESHIMA.MUNGU IBARIKI NDOA YETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dishi limeyumba kidogo
Fanya fanya likae vizuri


Kweli kabisa mkuusema tu nyinyi mna bahati mbaya mnakutana na watu sio so mnaona lila mwanamke ni huyo huyo tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya Jumatatu wana ndugu wote.
Niaze na kumshukuru mungu kwa afya njema alio nijalia neema hii. Pia nimshukuru M/Mungu kwa kunipa mke bora na sio bora mke.
Kiukweli wanawake wanamapungu mengi lakini sio wote. Wapo ambao wanajitambua na kujielewa kama ambavyo wanaume walivyo. Kuishi na mwanamke kunahitaji HEKIMA, BUSARA, NA USTAMILIVU. Ukiwa hivyo utaishi nae kwa wema na amani upendo utaongezeka. Kiukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake wenye upeo na busara kubwa, kiasi ambapo najivunia kua nae. Amekua na mchango mkubwa ktk maisha yetu.
Kiukweli sijawahi kugombana naye wala kumuhisi chochote, amekuwa ni mtu makini, anayetumia busara kubwa katika maamuzi yake. Amekua mcheshi mno , mwenye tabasam kila nikimuona nahisi furaha sana. Pia nami najisifia kwa kuweza kumuendo mke wangu, na kumfanya awe bora.
Tatizo la sisi wa baba tunapo kuwa katika maisha ya ndoa hua tunatumia mfumo dume, mfumo kandamizi, mabavu. Hali hii inafanya wamama kujiona vijakazi mwishowe nao hufanya watakavyo kwa kukosa busara, hekima kwa wanaume wao.
M/Mungu alituagiza tuishi nao kwa akili, alikuwa anajua wao ni watu wa kuelekezwa bila ukali, watu wa kuwapa nafasi nao watoe maoni yao. Na hata ukiwapinga basi tumia akili kumpinga na fosi, nguvu wara kejeri.
ASANTE MKE WANGU KWA KUNIPA WATOTO, ASANTE MKE WANGU KWA KUNIJENGEA HESHIMA.MUNGU IBARIKI NDOA YETU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kweli kabisa mkuuKuishi na furaha ni maamuzi yako ..
Nipo miaka 15 ya ndoa ila naona ni kama ndoa ya Jana kama sio Leo hata nashangaa hiyo miaka 15 imefikaje naona kama nimeolewa jana
Jinsi nilivyokua na furaha ya ajabu na Amani ilopitiliza I have the best husband in the world
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu mbona Kama umeongea pumba Sana,,shida Ni NiniDishi limeyumba kidogo
Fanya fanya likae vizuri
Shida ni stressMkuu mbona Kama umeongea pumba Sana,,shida Ni Nini
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
Ok ,,,pole mkuuShida ni stress
Nashukuru sana.Ok ,,,pole mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 Baadhi ya Wanaume hawapendi kusikia habari kama hizi.
Daaah Niko vibaya mkuu,next mkuu maybeNashukuru sana.
Unaweza ukawa na laki moja ya karibu hapo ?
niazime nitakurudishia Jumatatu ijayo