Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,632
Nipo jamani, naona umenitelekeza na watoto
Nipo jamani, naona umenitelekeza na watoto
Heheheee jamaa amesoma comments za wadau anataman afute threadHaaaa haawww mbona wana jf hatujaligundua.Na Mara nyingi l Na R Ni janga la kitaifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshasema,kiukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake wenye upeo na busara kubwa,hiyo ndio bahati pekee ulionayo,sasa usitake kuanza kutulazimisha wenzio tusiokuwa na wake wa hivyo tusitumie mifumo dume kwenye nyumba zetu...
Siku akichoka kufanya Siri, au Siri ikifichuka na kukufikia usiache kuleta mrejesho hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi hoi na hayo majibu
mbona mnakatisha wenzenu tamaa??? amepata kilichobora kwake msifieni jamani nyie mnaombeza mshazoea kudanganywa had mkapoteza ham kiasi hamtaki kuelewa kama hivi vitu vipo
mtoa mada hongera!! lakini unaposema hamjawahi kukoseana unaongopa bana, ina mana nyie wenzetu ndoa yenu ina furaha 24/7?????
Aaaaah,,,ndoa mpya huyo....ngoja wakae kae kidogo hapa........atatuletea mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunafikiana kivipi mkuu,na ndoa ina miaka 17,,,huo unafiki si ungekua umeonekana
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
Siku paaaaaap,.. Hautaamini na kifo cha digidigi hapo hapo,... Punguza hizo asilimia ulizompa japo ni kweli,.. Ila kwakua ni mke, Weka asilimia 40 ya chochote kitatokea, ili upunguze ukali wa heart attack .... Wenge la mwanamke ni la aina yake... Lkn hongera sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wivu
Sent from my iPhone using JamiiForums
hayo majibishano ndio tofauti huyo alisema wanaishi kwa furaha nikauliza kama ni masaa 24 kwa siku zote saba wanaishi kwa amani kitu anbacho hakiwezekaniYes zipo ndoa za hivyo bwana makosa ya kawaida sana sana inakua yaani baada ya nusu saa mnaongea..
Mimi nia ndoa ya miaka 15 sasa is siwezi kusema nimegombana na mume wangu hata siku moja yaani ni majibishano ya kawaida sana ambayo hayapelekei ugomvi wowote yaani ni ile hivi sipendi usifanye Sio vizuri hivyo yaani
Sent from my iPhone using JamiiForums
mimi hoi na hayo majibu
mbona mnakatisha wenzenu tamaa??? amepata kilichobora kwake msifieni jamani nyie mnaombeza mshazoea kudanganywa had mkapoteza ham kiasi hamtaki kuelewa kama hivi vitu vipo
mtoa mada hongera!! lakini unaposema hamjawahi kukoseana unaongopa bana, ina mana nyie wenzetu ndoa yenu ina furaha 24/7?????