Asante mke wangu kwa unayonifanyia

Asante mke wangu kwa unayonifanyia

Huyo mwanamke anaakili Sana ukiwa unachepuka lazima heshima kwa Mme iwepo wanawake wengine igeni huu mfano, hadi mwanaume hajui Kama mkewe analiwa nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua wanao kwa siri ukapime DNA wanawake wa hivyo huwa na siri kubwa sana moyoni ndo maana wanakuwa na fake smile muda wote mrejesho wa majibu tafadhali
 
Wanawake wana akili usipime. Utamwona mpole mwenye hekima na utulivu usiomithilika, lakini anamegwa. Yuko jirani yangu hapa, mkewe huwezi kumdhania kabisa. Ila kuna jamaa anamega tena mchana kweupe ingawa anakuwa na mmewe kazini pamoja tena kampuni moja.
Halafu yeye anakuja na pongezi kwa mkewe. Sawa hongera zake.
Asiyewajua anaweza kujipongeza sisi wakongwe tunawaacha. Ukweli hawaminiki sana.
Ukijidai kuwaamini shauri yako😁
 
Habari ya Jumatatu wana ndugu wote.

Niaze na kumshukuru mungu kwa afya njema alio nijalia neema hii. Pia nimshukuru M/Mungu kwa kunipa mke bora na sio bora mke.

Kiukweli wanawake wanamapungu mengi lakini sio wote. Wapo ambao wanajitambua na kujielewa kama ambavyo wanaume walivyo. Kuishi na mwanamke kunahitaji HEKIMA, BUSARA, NA USTAMILIVU. Ukiwa hivyo utaishi nae kwa wema na amani upendo utaongezeka. Kiukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake wenye upeo na busara kubwa, kiasi ambapo najivunia kua nae. Amekua na mchango mkubwa ktk maisha yetu.

Kiukweli sijawahi kugombana naye wala kumuhisi chochote, amekuwa ni mtu makini, anayetumia busara kubwa katika maamuzi yake. Amekua mcheshi mno , mwenye tabasam kila nikimuona nahisi furaha sana. Pia nami najisifia kwa kuweza kumuendo mke wangu, na kumfanya awe bora.

Tatizo la sisi wa baba tunapo kuwa katika maisha ya ndoa hua tunatumia mfumo dume, mfumo kandamizi, mabavu. Hali hii inafanya wamama kujiona vijakazi mwishowe nao hufanya watakavyo kwa kukosa busara, hekima kwa wanaume wao.

M/Mungu alituagiza tuishi nao kwa akili, alikuwa anajua wao ni watu wa kuelekezwa bila ukali, watu wa kuwapa nafasi nao watoe maoni yao. Na hata ukiwapinga basi tumia akili kumpinga na fosi, nguvu wara kejeri.

ASANTE MKE WANGU KWA KUNIPA WATOTO, ASANTE MKE WANGU KWA KUNIJENGEA HESHIMA.MUNGU IBARIKI NDOA YETU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari Umeshakwama Kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshasema,kiukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake wenye upeo na busara kubwa,hiyo ndio bahati pekee ulionayo,sasa usitake kuanza kutulazimisha wenzio tusiokuwa na wake wa hivyo tusitumie mifumo dume kwenye nyumba zetu...
anataka kupangia watu

One love
 
Back
Top Bottom