fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Sawa bana, nikukumbushe tu ndugu yangu unayesubiria NMB.Pole TAGA kwa msiba wa BABA.
Ndio hivyo mama kaonyesha yeye sio marehemu mnyima haki za watu.
Ngoja sisi 24/July tukimbilie NMB, We endelea na matanga.
Ila baba ako mnyima haki za watu hawezi kuwa kiongozi wa malaika Hawa naowajua Mimi labda malaika wale wa Ufunuo wa Yohana (666).
CGA alitudhihirishia baba ako alikuwa mwizi balaaa.
#YNWA
week hii mambo hayakua sawa nimeingiza 1980000 tu.
Mambo yamebana kidogo