Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 908
- 1,064
Moja kati ya maboss wa Media, huwezi kosa taja jina la Majizo. Huyu ni Mkurugenzi na Mtendaji toka Radio E na TV E, ambaye kwasasa ni mume halali wa Elizabeth Michael (Lulu), japo alikuwa akitoka na Hamisa Mobetto before na kupata nae mtoto mmoja.
Hamisa Mobetto ambaye ni mjasiriamali na msanii pia kutokea bongo/nchini Tanzania/socialite pia mrembo huyu anapambana sana sio poa.
Bifu ya Diamond Platnumz na Majizo chanzo ni kutambiana kwa umaarafu, pia Hamisa ambaye ameshawahi kuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na amezaa naye mtoto.
Kwa sasa EFM haipigi kazi yoyote ya Diamond Platnumz, ndio maana hata event ya Marioo Diamond Platnumz hakuhudhuria japo alituma wawakilishi.
Iko hivyo, so mimi binafsi bifu hii hawezi peleka muziki mbele na Maboss wa media ndio chanzo cha kufelisha sanaa, kujikuta wao ndio wao while wameweka vyombo vya habari kwa ajili ya kusapoti na kuhabairisha jamii ila now imekuwa kinyume.
Ok, anyways, yangu ni hayo kwa leo. Uwe na siku njema.
Hamisa Mobetto ambaye ni mjasiriamali na msanii pia kutokea bongo/nchini Tanzania/socialite pia mrembo huyu anapambana sana sio poa.
Bifu ya Diamond Platnumz na Majizo chanzo ni kutambiana kwa umaarafu, pia Hamisa ambaye ameshawahi kuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na amezaa naye mtoto.
Kwa sasa EFM haipigi kazi yoyote ya Diamond Platnumz, ndio maana hata event ya Marioo Diamond Platnumz hakuhudhuria japo alituma wawakilishi.
Iko hivyo, so mimi binafsi bifu hii hawezi peleka muziki mbele na Maboss wa media ndio chanzo cha kufelisha sanaa, kujikuta wao ndio wao while wameweka vyombo vya habari kwa ajili ya kusapoti na kuhabairisha jamii ila now imekuwa kinyume.
Ok, anyways, yangu ni hayo kwa leo. Uwe na siku njema.