Tumia kingamuz cha zuku wewe no stakistaki yakoUzuri wa tve ndo kwanza wanaanza ila tayari wa HD wakati hawa tv ya rais wa mkoa bado wapo analogi tena sasa hv wanastaki staki kila dkk
channel No ngapi?IPO.
No,115channel No ngapi?
Wala sio ya ruge ....ya Mr.kusagaHahahaha CCM TV ya ruge hawana jipya kazi kucopy vipindi EATV
Muda wooootee utasikia eeeeeh brother!!! Lile tangazo la coca mara mtandao wenye kasi,yani kipind cha nusu saa matangazo ya nakula 20 minutes
