Hakuna kitu kizuri kwenye hili jukwaa la jokes/utani + udaku/Gossips kama watu ku-comment thread yako. Ukiwa kama ndugu/jamaa/rafiki/mdau wangu wa karibu, naomba uko-comment chochote kile ili nivunje rekodi ya kutoa thread yenye comments nyingi kwenye hili jukwaa la jokes/utani + udaku/gossips.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwako
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwako