Asante kondomu, hakika sio kwa ujanja wangu..!!

Asante kondomu, hakika sio kwa ujanja wangu..!!

Hii PEP inaweza kuua virus Kama havijaingia kwenye damu?
Ndani ya masaa 72 kwa asilimia zaidi ya 90 itazuia infection... huwa zinatolewa hasa kwa wahudumu afya wakihisi kuwa contaminated na virus... ila ni sawa na ARV isipokuwa zenyewe hutumika kwa siku 28. Zaidi ya 72 zinaweza zisikukinge
 
Ndani ya masaa 72 kwa asilimia zaidi ya 90 itazuia infection... huwa zinatolewa hasa kwa wahudumu afya wakihisi kuwa contaminated na virus... ila ni sawa na ARV isipokuwa zenyewe hutumika kwa siku 28. Zaidi ya 72 zinaweza zisikukinge
SI mpka ujue ulietembea ni muathirika au?
 
Mwezi uliopita tulifanya semina ya ukimwi, sasa tukashautiwa tupimepalepale kwa atakaetaka

Baada ya kupima na kukuta mambo safi, nilijiapiza nitakuwa natumia kondom kwa nisiyemjua.
 
Mwezi uliopita tulifanya semina ya ukimwi, sasa tukashautiwa tupimepalepale kwa atakaetaka

Baada ya kupima na kukuta mambo safi, nilijiapiza nitakuwa natumia kondom kwa nisiyemjua.


Tumia Kondomu hata kwa unayemjua hutokuja kujuta, Kiongozi.
 
Mi hayo madude sijui kwa nn, huwa hayapandi kabisa, nikivaa tu ila namaliza kuvaa nikipanda hivi kabla ua kuingiza inalala fofofo, hadi nioge na sabuni kabisa ndo mnara usome. Mafta yake yana athari sana na ngozi yangu
 
Lakin inabid ujue kondom inazuia mimba tu
 
Mi hayo madude sijui kwa nn, huwa hayapandi kabisa, nikivaa tu ila namaliza kuvaa nikipanda hivi kabla ua kuingiza inalala fofofo, hadi nioge na sabuni kabisa ndo mnara usome. Mafta yake yana athari sana na ngozi yangu

Uko sahihi, ila sio athari ya mafuta ni psychological effect tu mtu unakuwa umejiwekea kichwani kwamba nikivaa sitaenjoy.

Mi yamenisibu sana hayo, nilikuwa natumia na mwandani wangu wa karibu kabisa tushapima but yeye akawa bado haniamini. So pamoja na kupima tukawa bado tunatumia ndom yani nilikuwa naichukuia hamna mfano, mashine inainuka mpaka inataka kukatika ile unaivisha tu inaanza kulegea ukianza kuchomeka ndo kabisaaa inapotea.

Nikawa nafanya zoezi moja la kipumbavu hatari, nachukua ndom na kuichana kichwani baada ya kuivaa. So nikiwa napiga mashine humo humo naikuta ishapanda kiunoni mwa dudu. Ebwana unaambiwa nilikuwa nainjoy kuliko nikiwa kavu kabisa.

Yani huwezi amini nainjoy zaidi bila kuchoka nikiwa nimevaa ndom iliyopasuka, raha yangu tu ule mkanda wa mdomoni mwa ndomu unibane kwenye kiuno cha ze dudu huku abdala akiwa kichwa wazi, aise nitamaliza baada ya siku mbili.
Ndugu yangu hili ni zoezi hatarishi mno liepuke japo ni burudani.
 
Hahhaaha yule yupo porini huko Hombolo anasema.Afu mambo ya kubet mi siyataki mtu hata hujui sura yake wala shepu yake.

Aisee "that is too much risk to bear..", mabaharia tunaangalia mzigo show kwa show..!!

siku nikipata time ya kwenda dodoma ntafanya kujionea iko kivutio
 
Lakin inabid ujue kondom inazuia mimba tu


Aaah sio kweli.Kondomu inazuia Maambukizi ya HIV pia.Chukua toka kwangu hiyo, ingekuwa haizuii tungeshakuwa tumeukwaa kitambo sisi wengine.
 
Badala ya kumshukuru Mungu unashukuru Condom, hatari kabisa

Mungu katokea wapi hapo?

Bila hiyo plastic hapo ni kwaheri hakuna divine intervention yoyote!

Nikikwambia utoe evidence ya Mungu kuhusika utanipa nini?

Kila kitu mnasingizia Mungu na Shetani,lini mtakubali your own responsibilities?
 
Nipo kwenye PEP mkuu siku ya 20 sasa, ingawaje mm ilikuwa ni hofu ya kuambukizwa kupitia mate... MaDr walikuwa wanagoma kwamba ni impossible ila mm naelewa the chance was their coz it was direct contact kati ya mate kwake na michubuko kwangu at last wakanipa hayo madonge, mziki wake haukuwa wa kitoto siku za nwanzo... now am counting 8days
Hongera bado kidogo ila izo dawa hata week mbili toka uanze kutumia zinatosha kutoa majibu ya positive au negative
 
mkeka wako uliouunda kwa muda mrefu ungechanwa na game ya Algeria na Nigeria
 
Back
Top Bottom