Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!
Haijarishi sh ngap imetumika huko, kwa kura walizopata CDM ni ushindi tosha kwn kulikua hakuna ngome yoyote pale, lakin ujumbe umefika kwa CCM kuwa mwisho wao umefika na sisi vijana tunaiunga mkono CDM Kwa moyo wote, we hope one day tutafika.
Bravo dkt slaa kwani katoka na nini?.si cdm imetoka patupu.mnasema hawana elimu.je watu wa k'ndoni hawana elimu?.suala ni kwamba chama kijenge mahusiano mazuri na BAKWATA na sio kiburi na kuibeza.pia mkubali ccm ni nomaaaaa...mzeewa watu alirukaruka juu ya jukwaa wanaigunga wamemtoa nduki.haamin kilichotokea na nimeshangaa anaibukia FB.CCM OYEEEE NAJUA INAWAUMA ILA NDO HIVYO IPOTEZEENI.MASKINI SILAA HATA NA KAFUMU AMEMFUMUA.
Afadhali leo umezinduka aisee jana hali ilikuwa mbaya mpaka ukazimia ! jikaze kiume hiyo ndio ccm na hukutegemea jamaa wanaweza kuwafanya vibaya kiasi hicho , mie nilijua tu huwezi kupambana na ccm wao ni jeshi kubwa na lenye rasilimali nyingi . Sasa inakuwaje mmebomoa benki kiasi cha kwamba tshs 1.345bn zimetumika igunga na hamkuapata kitu na chama ndio muflisi sasa
Na kweli siku zote mtaweza kushindwa km igunga lazima mfe. Slaa jana amezimia !
leo umelipwa sh ngapi? Tangu asubuhi unatoa roho hapa JF.
Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!
Hivi wewe umewahi kufikiri ndugu zako wote kama watoto, wazazi, shangazi, wajomba, wapwa, binamu, babu na bibi, marafiki zako, majirani na ndugu zao nk wanaishije na ukajiuliza kwann wanaishi hivo kisha ukajiuliza nini kifanyike? weka ushabiki na ukada wa vyama pembeni.Pole sana Dr Slaa mbwembwe zako na Uongo wako Igunga umetoka patupu!