plock
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 502
- 568
Unawezaje kumfahamu mtu bila kufanya naye mawasiliano ukamuhoji kwa kina kuhusu dawa yake kabla ya kununua , wazo lako ni la kumkatisha mtu tamaa na kutoa hitimisho bila kumfahamuKigwangala aliweza kuwathibiti vizuri sana mpaka kiranja wenu mkuu "Mwaka" jana akakimbilia kusiko julikana. Sasa amahamishwa wizara mnarudi kinyumanyuma. Brother huo ni ujanja wa marketing wa kizamani . Utawapata lakini wajingajinga maana kila sekunde wanazaliwa wajinga 100. Uuajichanganya unavyotaja jina la dawa tena gumu na namba ya simu unaweka. Wewe ndio mtu huyo huyo, umetunga hadithi ili uwapate na utawapata kweli nadhani huko PM sasa hivi zimesheheni MSG za kufa mtu