Heri wewe umeona! Hapa kuna watu wakutapeliwa wanavutwa.Kama nahisi ni tangazo la biashara vile maana watu wa marketing wana mbinu ya ushawishi
Duh... basi pole sana. Kwanini hukunambia una holo tatizo? Ningekuwa nshakutatulia tatizo... afu ungenizawadia kitu kitamu...hahahhaha yangu!mie sijawah andika vitu vya kudanganya!sina hata sred moja ya alfu ulelaullela!
ni mm ,,,
Sasa hujui nyagi ni dawa ya pumu?hahaha we nae siwalewale wa nyagi tu!..sitakii
For sheezle my nizzleoh real?
How it's works: kwanza story inakuwa na main character na hapa ni festo...then atasifiwa Sana na kufanya aonekane kama ni mtu Mzuri sana...then Kuna watu WAtaingia DM kumsaka festo.... Na Kuanzia hapo watu Watapigwa ela...
NB: this is my assumption
Hivi wanawake huwa mkoje lakini!? Mnawavulia watu msio waheshimu!!! No wonder wanawamega na kusepa!!!unaenda siko aisee !namthamini huyu