MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
- Thread starter
- #61
Hivi wanawake huwa mkoje lakini!? Mnawavulia watu msio waheshimu!!! No wonder wanawamega na kusepa!!!
Huwa inatokea Kama binti mnaheshimiana Ukimtongoza utasikia "Yaani wewe nilikuwa nakuheshimu... "!
Sasa Sijui huwa mnapenda watu msiowaheshimu!? Mpe bhana hiyo Zawadi ya ushindi, ndo Zawadi boooora kabisa kwa mtu
unayemheshimu Kama Festo.
duh ... eti nimekosa la kujibu