Asante AD jf nisaidieni kwa hili!

Elia

JF-Expert Member
Dec 30, 2009
3,425
567
Thread ya Afrodenzi Abuse.. (Dhuruma) ilinigusa sana. Mwanzoni wakati ninaanza kuisoma haikunigusa sana lakini baadae niliposoma comments nyingi za wana jf ilinisisimua.
Nilikumbuka wakati fulani ilitokea malalamiko kutoka kwa wafanyakazi wenzangu, for me it was a matter of priorities but for them was not the priority, tulirekebisha mambo yakaenda vizuri.
Swali langu ni je utajuaje kama una –Abuse watu, mke/mpenzi, watoto, jamaa, wafanyakazi nk nk.
Ndugu wana jf hebu nisaidieni, najua wengi tuna-abuse/onea wengine bila sisi kujua au tunatendewa uonevu kwa kudhani ni haki au ndio utendaji kazi.
 
Which principles???

Lizzy! Kwa kazini principles za kazi. tatizo ni kwamba kuna wakati utasikia watu wanalalamikia mtu fulani akiwa hayupo akiwepo they just show a smilling face while they suffer. sasa vipi nitajua they feel what they express au they are okey with me? Wakati mwingine utakuta watu wanafanya sherehe ya mtu fulani kuhamishwa kitengo nk nk
 
Lizzy! Kwa kazini principles za kazi. tatizo ni kwamba kuna wakati utasikia watu wanalalamikia mtu fulani akiwa hayupo akiwepo they just show a smilling face while they suffer. sasa vipi nitajua they feel what they express au they are okey with me? Wakati mwingine utakuta watu wanafanya sherehe ya mtu fulani kuhamishwa kitengo nk nk

Well kama wewe unajua unachofanya ni kazi yako tu na sio chuki za ziada then hamna tatizo!!!Ofcoz huwezi kuwachekea wafanyakazi waliopo chini yako kisa tu unapowaelewesha na kuwaelekeza mambo wakuelewe wao wanaona unawaonea...kama kiongozi wao ni kazi yako kuwaongoza.Hata wasipopenda uongozaji wako as long as huvuki mipaka kwenye jinsi ya kuwaongelesha na kuwaelewesha au hata kuwaadhibu then endelea hivyo hivyo!!!
 
angalia avata yako utaona unavyo abuse wenzako............una ukatili wa hali ya juu sana
 
Thread ya Afrodenzi Abuse.. (Dhuruma) ilinigusa sana. Mwanzoni wakati ninaanza kuisoma haikunigusa sana lakini baadae niliposoma comments nyingi za wana jf ilinisisimua.
Nilikumbuka wakati fulani ilitokea malalamiko kutoka kwa wafanyakazi wenzangu, for me it was a matter of priorities but for them was not the priority, tulirekebisha mambo yakaenda vizuri.
Swali langu ni je utajuaje kama una –Abuse watu, mke/mpenzi, watoto, jamaa, wafanyakazi nk nk.
Ndugu wana jf hebu nisaidieni, najua wengi tuna-abuse/onea wengine bila sisi kujua au tunatendewa uonevu kwa kudhani ni haki au ndio utendaji kazi.


Elia haya mambo si rahisi kiasi hicho na si abuse zote mtu utashindwa kujua kama ume abuse au umekua abused. Because umetumia kwa kuegemea alizotuwakilishia AD nivizuri nikatolea mfano/maelezo kadri niwezavyo kwa kutimi hizo abuse. Kwa mfano huwezi tukana mtu/mtu kukutukana, mbaka mtu/mtu kubakwa, mtelekeza mtu/mtu kutelekezwa alafu eti usitambue nini kimefanyika na hali vitendo vyote hivyo ni vya kudhamiria kwa mtenda.. Hizi zahusisha Verbal abuse (matusi), Sexual abuse(unyanyasaji wa ki jinsia), Neglect (kutelekezwa)..

kwa environment ya office naamini kua labda unalozungumzia linaweza kuhusiana na Hate (chuki) , Physical abuse (kimwili), mana katika abuse zote nilizotaja hapao hizi ndo kazi kuzi control... Inawezekana ukawa na nafasi fulani katika maeneo ya kazi yenu na ukatokea kumchukia mfanyakazi mwenzio/wako aidha tokana na tabia yake mbovu au tokana tu na ukweli kua damu zenu haziendani. Na pia physical abuse mara nyingi ina affect wanawake na watoto... Na hii physical abuse ina definition tofauti tokana na culture ya watu wenyewe.. Mwanamke mwingine ukimpiga kesi mahakamani mwingine anaona anapendwa na kuonewa wivu, Culture nyingine hasa za wenzetu ukimpiga mtoto ni moja kwa moja kunyang'anywa na social workers hali hapa kwetu ni chakula cha ziada... Katika offisi hio hio unaweza mvamia mdada uka mkiss kwa nguvu na akafurahia hali mwingine you will face the consequence...

Nakushauri kua wewe kama una influence ya watu ambao unafanya nao kazi weka utamaduni wa kuhakikisha once in a while mnajadili matatizo yenu (ila kama wewe ni boss wasijadili woote kwa pamoja kama yakuhusu wewe directly itakushusha na kukusumbua katika ku deligate). Wambie mtu yoyote mwenye tatizo ambalo anaona wewe directly unasababisha aje akuone na hakikisha akili yako imetulia ili kuweza tafakari mana si malalamiko yoote is worth kufanyia kazi.

 
angalia avata yako utaona unavyo abuse wenzako............una ukatili wa hali ya juu sana

Ha ha haaaa! Mkuu, hii ni avata ya tatu; yakwanza niliambiwa inafanya baadhi ya watu wawe anikomfotabo nyingine nikaambiwa inatisha, sasa hii tena.....
 
Elia haya mambo si rahisi kiasi hicho na si abuse zote mtu utashindwa kujua kama ume abuse au umekua abused. Because umetumia kwa kuegemea alizotuwakilishia AD nivizuri nikatolea mfano/maelezo kadri niwezavyo kwa kutimi hizo abuse. Kwa mfano huwezi tukana mtu/mtu kukutukana, mbaka mtu/mtu kubakwa, mtelekeza mtu/mtu kutelekezwa alafu eti usitambue nini kimefanyika na hali vitendo vyote hivyo ni vya kudhamiria kwa mtenda.. Hizi zahusisha Verbal abuse (matusi), Sexual abuse(unyanyasaji wa ki jinsia), Neglect (kutelekezwa)..

kwa environment ya office naamini kua labda unalozungumzia linaweza kuhusiana na Hate (chuki) , Physical abuse (kimwili), mana katika abuse zote nilizotaja hapao hizi ndo kazi kuzi control... Inawezekana ukawa na nafasi fulani katika maeneo ya kazi yenu na ukatokea kumchukia mfanyakazi mwenzio/wako aidha tokana na tabia yake mbovu au tokana tu na ukweli kua damu zenu haziendani. Na pia physical abuse mara nyingi ina affect wanawake na watoto... Na hii physical abuse ina definition tofauti tokana na culture ya watu wenyewe.. Mwanamke mwingine ukimpiga kesi mahakamani mwingine anaona anapendwa na kuonewa wivu, Culture nyingine hasa za wenzetu ukimpiga mtoto ni moja kwa moja kunyang'anywa na social workers hali hapa kwetu ni chakula cha ziada... Katika offisi hio hio unaweza mvamia mdada uka mkiss kwa nguvu na akafurahia hali mwingine you will face the consequence...

Nakushauri kua wewe kama una influence ya watu ambao unafanya nao kazi weka utamaduni wa kuhakikisha once in a while mnajadili matatizo yenu (ila kama wewe ni boss wasijadili woote kwa pamoja kama yakuhusu wewe directly itakushusha na kukusumbua katika ku deligate). Wambie mtu yoyote mwenye tatizo ambalo anaona wewe directly unasababisha aje akuone na hakikisha akili yako imetulia ili kuweza tafakari mana si malalamiko yoote is worth kufanyia kazi.


Thanks Asha D, nashukuru sana kwa ushauri wako, basically ninachukia sana aina zote za abuse, baada ya topic ya jana nikapata ku-flash back tangu nikiwa shule, nilipoanza kazi na nilipo sasa, nimengi yamepita. I don't want to be an example ya bad persons who abuse others thats all.
 
Thanks Asha D, nashukuru sana kwa ushauri wako, basically ninachukia sana aina zote za abuse, baada ya topic ya jana nikapata ku-flash back tangu nikiwa shule, nilipoanza kazi na nilipo sasa, nimengi yamepita. I don't want to be an example ya bad persons who abuse others thats all.

Elia naamini wengi tumepitia abuses... hata mimi personally (na sitaki kukumbuka, inaniumiza mno)... Mara nyingi watu wanao abuse intentionally unakuta hua most walikua subjected na abuse wakati fulani huko nyuma hivyo kuwajenga wawe sadists... Inasikitisha.
 
Elia inakuwaje hujui kama wewe ni abusive au sio? kwa kusoma thread ia AD ungekuwa mpaka sasa unajijua umesimamia wapi
kama unawaendesha wenzako uache fanya kama alivosema AshaD mimi hapa nilipo ni bosi na kila mtu ananikubari kwenye idara yangu, kila mwezi tuna kikao na nimewafanya wote wawe free kuji express wanavyojisikia
Vivi vivo na nyumbani unaweza ukawa unakaa na ndugu zako huku unakasirika wanavyokuchuna zile hasira zinapelekea uanze kuwanyanyasa wenzako, Jiamini na amini kwamba Mungu amekupa ili uweze kujikimu na kusaidia wengine, kama una mke na unamnyanyasa kama kuna jamaa hapa alisema nyumba yake halafu mke analeta mdomo, hii ni kosa jitahidi uwe na hali ya kuchukulia wenzako wanaokuzunguka
 
Elia inakuwaje hujui kama wewe ni abusive au sio? kwa kusoma thread ia AD ungekuwa mpaka sasa unajijua umesimamia wapi
kama unawaendesha wenzako uache fanya kama alivosema AshaD mimi hapa nilipo ni bosi na kila mtu ananikubari kwenye idara yangu, kila mwezi tuna kikao na nimewafanya wote wawe free kuji express wanavyojisikia
Vivi vivo na nyumbani unaweza ukawa unakaa na ndugu zako huku unakasirika wanavyokuchuna zile hasira zinapelekea uanze kuwanyanyasa wenzako, Jiamini na amini kwamba Mungu amekupa ili uweze kujikimu na kusaidia wengine, kama una mke na unamnyanyasa kama kuna jamaa hapa alisema nyumba yake halafu mke analeta mdomo, hii ni kosa jitahidi uwe na hali ya kuchukulia wenzako wanaokuzunguka

BB umejuaje kama wanakukubali??? Kuna wanaokusifia ukiwepo ukitoka tu balaa
 
Elia Bwana.....

Kama kuna mtu hapo kazini au sehemu yoyote alishawahi kukufanyia kitu ukakereka, ukaumia sana au kukwazika sana basi na wewe usifanye kitu kama hicho kwa mwenzio. Pia hakikisha unapotumia uhuru wako unakumbuka kuwa huna uhuru wa namna hiyo kwa 100%.
 
Back
Top Bottom