Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Habari za muda huu wana-JF!

ASALI inafahamika kwa muda mrefu kama chakula muhimu ambacho pia kinasaidia sana katika kupambana na magonjwa mbalimbali na matatizo yatokanayo na uzee. Kwa mujibu wa tafiti mpya za wataalamu wa madawa lishe na vifaa tiba, imedhihirika kwamba, uwezo wa asali kutibu unaweza kuongezeka maradufu kama itachanganywa na mdalasini.

Aidha, uchunguzi wa kila wiki unaofanywa na jarida la World News kuhusu tiba unasema, wataalamu wa madawa yatokanayo na mimea, imeonekana kwamba kuna dazani nyingi za umuhimu wa asali na mdalasini katika kujenga afya bora.

Asali ikishachanganywa na mdalasini pamoja na mafuta ya vuguvugu ya mzaituni, hutoa kichocheo maridhawa cha kuotesha nywele kinachotumika matika dawa ya Dork.

Mchanganyiko huo vuguvugu unapakwa kwa kusugua kichwani na kuachwa kwa dakika 15. Kwa mujibu wa watafiti wa madawa tiba, Dk Alexander Andreyed na Eric Vogelmann, madhara yaletwayo na vyakula vyenye mafuta mwilini yanaweza kudhibitiwa kwa kiasi kikubwa kwa matumizi ya mara kwa mara ya chai iliyoungwa kwa kutumia mchanganyiko wa asali na mdalasini.

Ugunduzi wao huo, uliyakinishwa vema kwenye jarida mashuhuri linalozungumzia masuala ya tiba la nchini Denmark la Julai 1994. Uchunguzi mwingine pia umeonesha kwamba matumizi ya kila siku ya asali yanapunguza viwango vya lehemu mwilini.

Asali inatajwa pia kuwa dawa ya jino, inaponya pia ngozi iliyoharibika, ni dawa asilia ya shinikizo la juu la damu ni kiungo muhimu katika utengenezaji wa asilimia kubwa ya madawa mmimiko na asilimia kubwa ya vipodozi na mafuta ya kupaka.

Ugonjwa wa mafua ambao huwakera na kuwanyima watu wengi raha imegundulika na wataalamu kwamba hupungua na kupotea kabisa ikiwa watatumia kijiko kimoja cha chai cha asali vuguvugu iliyochanganywa na robo kijiko cha chai cha mdalasini. Mtafiti mmoja wa Hispania imethibitisha kwamba, aina ya dawa moja asilia iliyofanikiwa kuharibu vimelea viletavyo mafua ilitengenezwa kwa kiwango kikubwa na asali.

Mchanganyiko huo pia ni mahususi katika kusaidia kupunguza na kuondoa chafya na kuvimba kwa koo. Asali inaaminika pia huamsha hamu ya tendo la ndoa. Wale ambao mambo katika eneo hilo si mazuri wanashauriwa angalau kunywa vijiko viwili vya mezani kila siku kabla ya muda wa kulala usiku. Kuna wakati asali ilipigwa marufuku kwa makasisi katika baadhi ya dini za Mashariki mwa dunia ili isiwe sababu ya kuwaongezea mihemko.

Asali inaaminika kuwa dawa ifaayo katika kuondoa mchafuko wa tumbo pamoja na kichefuchefu. Ukiwa katika kadhia hiyo, unashauriwa kuongeza kiasi kidogo cha mdalasini na asali kwenye chai ama maji, itapunguza hali hiyo na maumivu yaletwayo na vidonda vya tumbo.

Utamaduni wa kula asali pamoja na mdalasini, huweza kuondoa mchafuko wa tumbo na utumbo uletwao na gesi kwa mujibu wa uchunguzi mahsusi uliofanywa huko India na Japani kwa miaka mingi. Unaweza kukinga kupata ugonjwa wa moyo na kuzuia, mkusanyiko wa mtandao wa mafuta kwenye mishipa ya damu kwa kula asali na mdalasini mara kwa mara wakati wa kifungua kinywa.

Kula mkate uliopakwa asali kijiko kimoja cha mezani kila siku nyuzi nyuzi zake ni muhimu pia kiafya. Tiba hii, iliweza kupunguza kuganda kwa mishipa ya damu kwa asilimia 74 ya wagonjwa waliofanyiwa utafiti. Shinikizo la damu, pamoja na matatizo yaambatanayo na maumivu ya kifua na kizunguzungu yalitoweka kutoka kwa wagonjwa wengi wiki chache tu baada ya watafiti wa Kiitaliano kuwapa dozi za mara kwa mara za asali iliyochanganywa na mdalasini.

Kinga ya mwili, itaongezeka mara tatu zaidi ikiwa utatumia mara kwa mara asali na mdalasini kwa pamoja, wataalamu wanasema. Utafiti wa kitiba unaonesha kwamba, asali ina hazina kubwa ya virutubisho na madini pamoja na michanganyiko mingine iondoayo magonjwa pamoja na kinga, itolewayo na chembechembe nyeupe za damu, husaidia kuzuia magonjwa pamoja na kuharibu vimelea virusi na bakteria. Vijiko viwili vya asali iliyonyunyiziwa mdalasini kabla ya mlo, huondoa kiungulia pia. Inasemekana kuwa, unaweza kuishi hadi miaka 100 ukifurahia maisha ya afya bora na madhubuti kwa kunywa kila siku kikombe baridi cha chai iliyowekwa mdalasini na asali.

Kutengeneza kinywaji hiki kitamu, weka vijiko vinne vikubwa vya mdalasini katika vikombe vitatu vya maji na koroga kwa dakika 10, kunywa robo kikombe kutwa mara tatu au nne, watafiti wanasema.

Asali ni tiba rafiki na asilia kwa watu wenye shida ya chunusi. Ili kutibu tatizo hilo watafiti wanasema changanya vijiko vitatu vya asali pamoja na kijiko kimoja mdalasini na pakaa kwenye chunusi.

Uwezo wa asali wa kuua bakteria utaufanya uso wako kuwa kawaida katika muda wa wiki mbili pekee. Asali, wanasema inairudisha ngozi iliyoharibiwa na wadudu waharibifu kama dondola, washawasha na hata ngozi iliyopata madhara kutokana na kuungua moto. Pakaa asali na mdalasini moja kwa moja kwenye sehemu zilizoathirika na rudia wakati mwasho unapokuathiri. Rudia tena hadi uvimbe unapotoweka.

Utafiti uliofanywa karibuni nchini Australia na Japan, umeonesha kuwa, asali ina uwezo mkubwa katika tiba ya mgonjwa kwa mtu anayetumia madawa ya kutibu saratani. Katika utafiti uliofanywa kwa wagonjwa waliokuwa wanaugua kwa kiwango kikubwa saratani ya mifupa na tumbo, wale waliokuwa wakitumia kila siku dozi za asali na mdalasini, walionesha kupata nafuu maradufu kuliko wale waliokuwa wakitumia madawa ya saratani pekee. "Tuliwapa kijiko cha mdalasini na asali kutwa mara tatu kwa mwezi," anasema Dk Hiroki Owatta. Upo ushahidi mpya kwamba, sukari asilia zilizopo kwenye asali, zina uwezo wa kuongeza nishati mwilini. Zikitumika ipasavyo, sukari hizi zinaweza kuwasaidia wazee na wengine wanaosumbuliwa na uchovu.

Wataalamu wanapendekeza kuchanganya nusu kijiko cha asali katika nusu bilauri ya maji kisha nyunyizia mdalasini na kunywa masaa mawili baada ya kuamka asubuhi. "Kunywa tena saa 9:00 alasiri wakati nishati (nguvu) inapoanza kushuka," anashauri Dk Milton Abbozza ambaye kazi zake kuhusu asali na mdalasini kama kichocheo cha nishati mwilini zinatambulika kimataifa.

Asali inao uwezo mkubwa wa kupunguza na kuponya miguu iliyopasuka kwenye kisigino. Chua asali na mdalasini vuguvugu katika miguu au nyayo zilizoathirika baada ya siku ndefu na kazi au baada ya mazoezi marefu. Rudia kila siku asubuhi halafu, osha nyayo zako kwenye maji baridi na vaa viatu.

Baadhi ya watu Marekani ya Kusini, wanasukutua maji ya vuguvugu yaliyowekwa asali na mdalasini kila asubuhi ili kufanya harufu mdomoni kuwa nzuri na safi kiasilia. Katika Asia ya Kusini Mashariki, watu hutumia kijiko cha mdalasini na asali ili kuondoa harufu mbaya mdomoni (halitosis).

Wataalamu wanaamini kwamba, uwezo wa kuua bakteria uliopo kwenye asali ndiyo unaopigana na harufu mbaya itokayo mdomoni. Dozi za kila siku za asali na mdalasini, hufanya hali ya usikivu murua kwa wanafunzi wawapo darasani au viongozi mkutanoni kama ilivyogunduliwa na Wagiriki wa zamani. Hiyo ndiyo asali. Ni chakula na dawa. Lakini inayozungumzwa hapa ni asali mbichi ambayo inapatikana kwa wingi Tanzania, lakini tatizo kubwa ipo pia feki inayouzwa kama mbichi!

Kwa hisani ya AFYA.KWANZA

=============

Toafauti ya asali ya nyuki wadogo na nyuki wakubwa

Asali za NYUKI WAKUBWA na WADOGO zina tofautiana katika mambo kadhaa na hvyo ni muhimu kujua tofauti hizo kabla hujanunua ili kua na uhakika.


NYUKI WADOGO
1. Ni nyepesi zaidi kwani ina kiwango cha maji kuanzia asilimia 24

2. Ina ladha ya UCHACHU ingawa ni tamu sana.
3. Mara nyingi ina rangi ya KAHAWIA ILIYOKOLEA inayoenda kwenye WEUSI


NYUKI WAKUBWA
1. Ni nzito kuliko ya nyuki wadogo kwani ina kiwango cha maji kuanzia asilimia 17 hadi 20.
2. Ni tamu moja kwa moja bila kua na ladha ya uchachu kama nyuki wadogo
3. Ina rangi nyingi kuanzia NYEUPE, NYANO, KAHAWIA ILIYOPOA, KAHAWIA ILIYOKOZA n.k

Hizo ni tofauti za muhimu kuzijua kwani zitakuwezesha kupata asali unayoitaka na kuepuka usumbufu.
 
I am strating to realise that everything GOD gave us is pertinent and for very good reason.

======================

=======================
Asali na mdalasini
=======================



MDALASINI NA ASALI
Asali inafahamika vema Duniani kote kama mojawapo ya silaha ya kiajabu katika kupigana na magonjwa na matatizo yatokanayo na uzee.
Sasa hivi, utafiti mpya umeonyesha kwamba uwezo wa asali unaweza kuongezwa maradufu kama itachanganywa na mdalasini wa kawaida.

Uchunguzi wa kina ufanywao kwa wiki na jarida la World News wa Tiba, wataalamu wa madawa yatokanayo na mimea pamoja na kijarida cha afya na lishe, imeonekana kwamba kuna dazani nyingi za umuhimu wa asali na mdalasini pamoja na michanganyiko {dawa} ya kusisimua iletayo afya bora.

Kama ifuatayo:

1. Ugonjwa wa Viungo/Maumivu na Uvimbe {ARTHRITIS}.

Wataalamu wa lishe wanapendekeza kuchukua kwa kutumia mchanganyiko wa sehemu moja ya asali pamoja na sehemu mbli za maji vuguvugu na kijiko kimoja {cha chai} chenye mdalasini - na kuchua sehemu zilizoathirika. Nafuu hupatikana katika muda wa dakika moja.

Vinginevyo tengeneza chai-kikombe kimoja chenye maji moto, weka vijiko vya chakula -viwili vya asali kwa kijiko cha chai cha mdalasini. Kunywa asubuhi na jioni ili kuondoa maumivu.

Katika tafiti iliyofanyika hivi karibuni na chuo kikuu kimoja huko Copenhagen, madaktari waliwapa wagonjwa 200, {syrup} mchanganyiko wa kijiko kimoja *cha chai* cha asali na kimoja cha mdalasini kila asubuhi kabla ya kifungua kinywa. Asilimia 73% yao waliripoti nafuu kubwa ya maumivu yao na ongezeko katika kufanya shughuli kama kujongea na kutembea vyema.

2. kukatika kwa nywele {HAIR LOSS}
Asali ikishachanganywa na mdalasini pamoja na mafuta vuguvugu ya olive, hutoa kichocheo maridhawa cha kuotesha nywele kinachotumika katika dawa ya Dork. Mchanganyiko huo vuguvugu unapakwa kwa kusugua kichwani na kuachwa kwa dakika 15.

3. Ukungu wa miguuni {FUNGUS}
Changanya kijiko kikubwa cha mezani cha asali, vijiko viwili vya mdalasini {vya chai}. Pakaa sehemu zilizoathirika usiku kwa muda wa nusu saa, kisha safisha kwa sabuni na maji. Shida yako itakwisha kwenye kipindi cha wiki moja.

4. Maamhukizo kwenye kihofu cha mkojo {BLADDER INFECTION}
Bilauri ya maji vuguvugu yaliyochanganywa na vijiko viwili {vya chai} vya mdalasini na kijiko kimoja {cha chai} cha asali huondoa bacteria kwenye kibofu. Unaweza ukatumia juisi ya cranberry badala ya maji ikiwa ambukizo la kibofu linakuwa sugu.

5. Maumivu ya jino {TOOTHACHE}.
Changanya sehemu tano za asali, na sehemu moja ya mdalasini na tumia kwa maumivu ya jino.
Dondoshea kwenye jino au meno yaliyoathirika hadi maumivu yatakapotoweka.

6. Vidonda vitokanavyo kwa mgonjwa kulala kwa muda mrefu {CANKER
SORES}.

Saladi ya kupaka vidonda iliyochanganywa na asali pamoja na mdalasini kwenye chai ya raspberry
nyekundu ni dawa nzuri ya kuondoa maumivu makali ya canker sores.

7. Helemu {CHOLESTERAL}
Kipimo cha helemu cha watu waliokuwa na afya nzuri {katika jaribio} kilishuka kwa wastani wa asilimia 10 katika muda pungufu ya masaa mawili baada ya kunywa bilauri moja {ounce 16} yenye vijiko viwili vikubwa vya mdalasini iliyochanganywa na chai ya moto. Kinywaji hiki kutwa mara tatu kilifanya kazi nzuri ya kushusha kiwango cha helemu mwilini.

Madhara yaletwayo na vyakula vyenye mafuta yanaweza kudhbitiwa kwa matumizi ya mara kwa mara ya chai hii pamoja na chakula chako. Hii imeripotiwa na mtafiti maarufu Dr Alexander Andreyed na Eric Vogelmann.

Ugunduzi wao uliyakinishwa kwenye jarida mashuhuri la kitiba la Denmark July 1994. vilevile/ aidha uchunguzi mwingine ulibayanishwa kutoa matumizi ya kila siku ya asali safi hupunguza viwango vya helemu.

8. Mafua {COLDS}
Mafua yameshaeleweka ya kwamba hupotea/huondoka baada ya masaa machache baada ya waathirika kutumia kijiko kimoja {cha mezani} cha asali vuguvugu iliyochanganywa na robo kijiko{cha chai} cha mdalasini, mchanganyiko huu ni mahususi katika kusaidia kuondoa chafya na kuvimba koo.

9. Ugumba {INFERTILITY}
Asali inaaminika kuamsha nyege na wapenzi wa jinsia zote mbili wanashauriwa kunywa anglao vijiko viwili {vya mezani} kila siku kabla ya muda wa kulala {usiku}.

Mdalasini umetumika kwa muda mrefu kwenye dawa za kihindi na kichina ili kuongeza uwezo wa uzazi kwa kina mama wenye kuhitaji kuzaa.

Kiungo hiki {mdalasini} huchanganywa na kiasi cha asali na kufanya mgando {paste} ambao hupakwa kwenye fizi za meno na kunyonywa na kuingia mwilini taratibu.

Familia moja iliyokuwa haina watoto iltumia mgando huu kwa mafanikio na kupata mapacha wa kike baada ya kushindwa kwa muda wa miaka 14 kupata mtoto. Walikuwa wameshakata tamaa ya kupata mtoto hadi waliposikia kuhusu mchanganyiko huu wa asali na mdalasini.

10.Mchafuko wa tumbo {UPSET STOMACH}
Asali imetambuliwa kwa kipindi kirefu kama dawa ifaayo kuondoa mchafuko wa tumbo pamoja na kichefuchefu. Ongeza kiasi kidogo cha mdalasini na hii tiba ya kimaajabu vilevile itapunguza maumivu yaletwayo na vidonda vya tumbo.

ll.Esidi/Gesi-Co2. Hco3. Hcl.
Kula asali pamoja na mdalasini huweza kuondoa mchafuko wa tumbo na utumbo uletwao na gesi kwa mujibu wa uchunguzi mahsusi iliofanywa huko India na Japan.

12.Ugonjwa wa Moyo {HEART DISEASE}
Unaweza kukinga kupata ugonjwa wa moyo na kuzuia mkusanyiko wa mtandao wa mafuta kwenye mishipa ya damu kwa kula asali na mdalasini mara kwa mara-kwa kupakaa wakati wa kifiingua kinywa.

Kula asali ya mkate wa ngano yenye nyuzinyuzi nyingi iliyopakwa kijiko kimoja {cha mezani} cha mchanganyiko huo hapo juu kila siku. Tiba hii ya maajabu iliweza kupunguza kuganda kwa mishipa ya damu kwa 74% ya wagonjwa waliokuwa katika nyumba za kutunzia wagonjwa - utafiti mmoja ulionyesha.

13. Shinikizo la damu {HIGH BLOOD PRESSURE}
Shinikizo la damu pamoja na matatizo yaambatanayo ya maumivu ya kifua na kizunguzungu yalitoweka kutoka kwa wagonjwa wengi wiki chache tu baada ya watafiti wa kitaliano kuwapa dozi za mara kwa mara za asali ilyochanganywa na mdalasini. Vipimo vya shinikizo la damu vilionyesha
ukawaida na wote 137 waliofanyiwa jaribio hilo waliripoti kujisikia vyema/vizuri baada ya wiki chache za tiba hii ya ajabu.

14.Kinga ya mwili {IMMUNE SYSTEM}
Kinga yako ya mwili itaongezeka mara tatu zaidi ikiwa utatumia mara kwa mara asali na mdalasini kwa pamoja - wataalamu wanasema.

Utafiti wa kitiba unaonyesha kwamba hazina kubwa ya vitamini{vivurutubisho} na madini pamoja na michanganyiko mingine iondoayo magonjwa pamoja na kinga itolewayo na chembechembe nyeupe za damu, husaidia kuzuia magonjwa pamoja na kuharibu vimelea {virus} na {bacteria}.

15.Ukosefu wa nguvu za kiume [Uhanithi]{IMPOTENCE}
Asali ina historia ndefu ya kuamsha uume pamoja na kuwa dawa madhubuti ya kuponyesha uhanithi.

Kutokana na uwezo wake kama kiamshaji/chaji, asali ilipigwa marufuku kwa makasisi katika baadhi ya dini za kimashariki mwa Dunia. Mwaka jana, watafiti wa kiaustralia waligundua kwamba asali ina uwezo wa kupeleka mwili kutoa homoni mbalimbali kama ilivyo kwa mdalasini, katika Africa na dunia ya kusini, mabaharia wamekuwa wakipaka asali katika sehemu zao za nje ya uume ili kuongeza stamina zao za kufanya mapenzi.

16.Kutokuchaguliwa kwa chakula {INDIGESTION}
Vijiko viwili vya asali iliyonyunyiziwa mdalasini kabla ya mlo{kula chakula} huondoa kiungulia na wataalamu wanasema kwamba asali husaidia kutolewa kwa juisi zinazotumika kuchaguliwa kwa vyakula tumboni na mdalasini unaongeza spidi ya kuchaguliwa kwa vyakula.

17.Flu {INFLTJENZA}
Tafiti moja ya kihispania imethibitisha kwamba aina ya dawa moja asilia ya ajabu ambayo huharibu vairasi {vimelea} waletayo Flu.

18.Umri wa kuishi {LONGERVITY}
Unaweza kuishi kufikia hadi miaka 100 na kufurahia maisha ya afya na madhubuti kwa kunywa kila siku kikombe baridi cha chai ya mdalasini na asali. Kutengeneza kinywaji hiki kitamu, weka vijiko vine{vikubwa} vya mdalasini katika vikombe vitatu vya maji na koroga kwa dakika 10. kunywa robo kikombe kutwa mara tatu au nne na hivyo utakuwa na kinywaji kingi

19.Chunusi {PIMPLES}
Changanya vijiko vitatu vya asali pamoja na kijiko kimoja cha mdalasini na pakaa kwenye chunusi.
Uwezo wa asali wa kuua bacteria utaufanya uso wako kuwa kawaida katika muda wa wiki mbili.

20.Kuumwa na wadudu {kwa washawasha} wenye sumu Pakaa asali na mdalasini moja kwa moja kwenye sehemu zilizoathirika na rudia wakati mwasho unapokuathiri. Rudia tena hadi viuvimbe vinatoweka.

21.Madhara ya ngozi {INFECTIONS}
Fanya kama ilivyoelekezwa hapo juu. Rudia kufanya hivyo hadi hali itakapokwisha.

22.Kupungua kwa uzito
Wawezakufurahia vyakula vyote unavyopenda, kuwa na afya nzuri na kupunguza uzito wa mwili ambao hauhitajiki kwa kula chakula chenye nguvu na ladha nzuri, kilichojaa vitu viwili muhimu vya asili ambavyo ni asali na mdalasini.unachohitajika kufanya ni kuhakikisha unavitumia vyote kwa kiasi katika mapishi yako. Vilevile, wataalamu wanasema unaweza kuondoa mabonge ya uvimbe wa nyamanyama nje ya mwili kwa kuanza siku yako kwa kutumia vijiko viwili vya asali iliyochanganywa na kijiko kimoja cha mdalasini ndani ya bilauri ya maji vuguvugu. Rudia mchanganyiko huu kabla ya kulala.

Wakati wa kipindi cha baridi kinapokaribia, ambacho kinaambatana na mazoezi machache, kuongeza hivi vitu viwili vya asili katika chakula ni muafaka. Pia kinywaji hiki vuguvugu kimeshahakikishwa na wataalamu wa lishe kwamba hupunguza hamu ya kula pamoja na kuleta joto mwilini.

23.Saratani {CANCER}
Utafiti uliomalizika karibuni huko Australia na Japan, umeonyesha kuwa asali ina uwezo mkubwa katika tiba ya mgonjwa anayetumia madawa ya kutibu saratani.

Katika tafiti iliyofanywa kwa wagonjwa waliokuwa wanaugua kwa kiwango kikubwa saratani ya mifupa na tumbo, wale waliokuwa wakitumia kila siku dozi za asali na mdalasini, walionyesha maradufu kupata nafuu kuliko wale waliokuwa wakitumia wakitumia madawa ya sarakani pekee. "Tuliwapa kijiko cha mdalasini na asali kutwa mara tatu kwa mwezi".anasema Dr Hiroki Owatta. "Wengine waliendelea na milo ya kawaida".

24.Uchovu {FATIGUE}
Upo ushahidi mpya kwamba sukari asilia zilizopo kwenye asali zina uwezo wa kuongeza nishati mwilini. Zikitumika ipasavyo, sukari hizi zinaweza kuwasaidia wazee na wengine wanaosumbuliwa na uchovu, wataalamu wanapendekeza kuchauganya nusu kijiko cha asali katika nusu bilauri ya maji, nyunyizia mdalasini na kunywa masaa mawili baada ya kuamka asubuhi. "Kunywa tena saa 9 alasiri wakati nishati {nguvu}inapoanza kushuka" anashauri Dr Milton Abbozza ambaye kazi zake kuhusu asali na mdalasini kama kichocheo cha nishati mwilini zinatambulika kimataifa. "katika wiki moja hii itajionyesha".

25.Kuvimba Nyayo {SORE FEET}
Chua asali na mdalasini vuguvugu katika {miguu} nyayo zilizoathirika baada ya siku ndefu na kazi au baada ya mazoezi marefu. Rudia kila asubuhi halafu nawisha nyayo kwenye maji baridi na vaa viatu.

26.Harufu mbaya kutoka mdomoni
Waamerica wa kusini wanasukutua kwa kutumia asali na mdalasini pamoja na vuguvugu kila asubuhi ili kufanya harufu toka mdomoni kuwa nzuri na safi kiasilia. Katika Asia ya kusini mashariki, watu hula kijiko cha mdalasini na asali ili kuondoa harufu mbaya mdomoni {halitosis}. Wataalamu wanaamini kwamba uwezo wa kuua bacteria uliopo kwenye asali ndiyo unaopigana na harufu mbaya itokayo mdomoni.

27.Kupungua kwa usikivu {HEARING LOSS}
Dozi za kila siku za asali na mdalasini hufanya hali ya usikivu kuwa makini kama ilivyogunduliwa na Wagiriki wa zamani.

MDALASINI NA ASALI vinaweza kukufanya uonekane kama picha yenye afya nzuri kama ile ya mwonyeshaji mitindo ya mavazi na muigizaji sinema Jocqol Bell.


================
Asali na Karanga
================

asali-100x100.jpg


Karanga ni mojawapo ya nafaka muhimu kwa afya ya binadamu. Huweza kutumika kama chakula, mafuta, kiungo na hata kwa ajili ya urembo.

Zao hilo huweza vile vile kufanya maajabu katika ngozi.Bila kubagua jinsia, matumizi ya karanga husaidia katika kuondoa makunyanzi na kulainisha ngozi.

Kwa kazi hii ya ngozi, karanga zinazohitajika ni zile mbichi. Kitu kinachohitajika ni kuchukua karanga mbichi ambazo hazijakaangwa kiasi kidogo kama kikombe kidogo cha chai.

Zianike karanga juani kwa muda ili ziweze kumenyeka kwa urahisi bila kukaanga. Saga karanga zako kwa kutumia blenda au kitu chochote kitakachoweza kuzilainisha na kuwa unga laini.

Chukua unga wako wa karanga na uuchanganye na asali mbichi kiasi kidogo, kisha acha kwa muda wa dakika 10 ili vichanganyike. Chukua mchanganyiko wako, kisha paka usoni hasa zile sehemu unazoziona kuwa na mikunjo zaidi.

Subiri kwa dakika kama 10, kisha osha uso wako na sabuni isiyo na kemikali baadaya hapo futa uso wako na kitambaa kisafi na kikavu. Subiri tena kwa dakika 5 halafu paka mafuta au losheni.Unashauriwa kufanya hivi mara moja kwa wiki.

Kiasili njia hii imekuwa ikitumiwa na Wanyamwezi wa Tabora kama kipodozi kwa ajili ya mabinti wadogo pindi wanapokaribia kufanyiwa sherehe maalum.
Unaweza pia kusugua taratibuuso kwa kutumia mchanganyiko wako ili kuondoa takataka katika mwiliwako ambapo baada ya kumaliza zoezi hilo unaweza kujipodoa kwa kupaka aina nyingine za vipodozi.

Kwa kuwa hazina madhara, unaweza kufanya hivi kila siku na utafurahia matokeo yake.


Source: Mwananchi.

Mpendao ngozi zenu kazi kwenu mshindwe wenyewe tu!
 
Asante sana maalim.
Hiii ni dahwa haswa...
Tuko pamoja.


==================
Asali na Tangawizi
==================


NAMNA YA KUTUMIA TANGAWIZI KWA TIBA
Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni, Gesi tumboni, Msokoto wa tumbo (bila kuharisha), Kutapika, Mshtuko/Mkazo wa ghafula (wa msuli),Maumivu ya tumbo na Kibofu cha mkojo ikiambatana na Homa, Mafua, Kukohoa na Pumu.

TUMIA JAM YA TANGAWIZI.
JINSI YA KUTENGENEZA JAM YA TANGAWIZI.
Kamua TANGAWIZI mbichi kisha changanya maji yake (Juice) na Sukari. Chemsha mpaka mchanganyiko huo uwe mzito. Ongeza Zafarani iliyosagwa,Iliki iliyosagwa, Kungumanga zilizosagwa na karafuu iliosagwa. Iweke dawa hii vizuri na tumia inapo hitajika.

KWA KUVIMBIWA NA KUTAKA HAMU YA KULA.
Changanya Juice ya TANGAWIZI, Juice ya Limau na Chumvi Mawe kwa vipimo vilivyo sawa. Hakikisha umechanganya vizuri. Kunywa dawa hii kabla ya Chakula.
Vingineyo changanya vipimo vilivyo sawa sawa vya Juice ya TANGAWIZI na Sukari Mawe. Koroga vizuri, kunywa kabla ya kula chakula. Dawa hii husafisha Ulimi na Koo na hukuongeza hamu ya kula na kukufanya mchangamfu.


MAUMIVU YA KOO NA KUKAUKA SAUTI
Tafuna vipande vidogo vya Tangawizi.

KWA KUHARISHA
Chua sehemu zinazozunguka kitovu kwa Juice ya Tangawizi.

KWA KISUKARI
Kunywa Juice ya Tangawizi iliyochanganywa na Sukari mawe.

KIUNGULIA, KUKOSA HAMU YA KULA NA BAWASIRI
Tumia Samasarkara Churna.

KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA
Kunywa mchanganyiko wa Juice ya Tangawizi na Juice ya Kitunguu.

MAUMIVU YA KICHWA CHA WASIWASI
Changanya Juice ya Tangawizi na Maziwa, kisha kausha. Nusa unga huo kama Tumbaku.

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO
Changanya kijiko kimoja cha au viwili vya Tangawizi iliyosagwa na kijiko kimoja au viwili vya mafuta ya Kastoroli. Kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku.

BARIDI YABISI SUGU
Changanya kijiko kimoja cha Tangawizi ya unga na vijiko 24 vya maji kunywa mchanganyiko huu ukiwa vuguvugu. Ulale na ujifunike mpaka utoe jasho.

KUUMWA JINO NA MAUMIVU YA KICHWA
Chukua Tangawizi ya Unga koroga na maji kidogo iwe nzito kama tope. Jipake na uchue kwenye paji lako la uso kabla ya kulala. Kwa Jino jipake na uchuwe kwenye Shavu.

====================

Dawa ya kikohozi kwa kuchanganya Asali na yai la Kienyeji

Asali weka kijiko 1 na changanya na yai la kuku wa kienyeji moja kunywa asubuhi kabla ya kula kitu fanya hivyo kwa muda wa siku 3 kila siku asubuhi na mchana na usiku utapona inshallah.
 
Asali inafaa sana kwenye shughuli nzima ya kufanya mapenzi! Its a good lubricant na inaongeza mnato! For smooth sex man can apply honey on his part before penetration especially if the partner has a dry va....kama foreplay cant help go for honey
 
Tunashkuru sana mkuu

Na jee vipi kuhusu hii habari ya asali ya NYUKI WADOGO na asali ya NYUKI WAKUBWA,,, Jee! kitaalamu inaleta mantiki yoyote? Ni kweli kwamba ile ya nyuki WADOGO ni nzuri zaidi? au ndio usanii wa kupandisha BEI tu?
 
Asante sana X-Paster. Wana Jamii mi ombi langu ni moja. Anayejua pale inapopatikana asali (ORIGINAL) atuelekeze hapa, maana asali hapa mjini zimejaa fake, zilizopikwa na kuchujuka hata hiyo faida zote hizi zinazoelezwa hapo zinakuwa hazipo tena.
 
Thanx for information on health benefits of HONEY.

A nutural Honey can be purchased at Ministry of natural resources, department of honey and bee.

But we are looking availability of PROPOLIS in local market esp.in DAR
Due to acidity(low PH) of propolis and Honey it is vey good to improve immune system thus can be used for cancer and HIV patients.

Where some one can purchase propolis in dar es salaam so that we can advice wananchi to go for it?
 
Tunashkuru sana mkuu

Na jee vipi kuhusu hii habari ya asali ya NYUKI WADOGO na asali ya NYUKI WAKUBWA,,, Jee! kitaalamu inaleta mantiki yoyote? Ni kweli kwamba ile ya nyuki WADOGO ni nzuri zaidi? au ndio usanii wa kupandisha BEI tu?
Aina za nyuki zipo nyingi, habari za nyuki wakubwa na wadogo ni katika biashara tu. Kwani ubora wa asali ni kutokana na maua waliyoyapitia hao nyuki.

NB:
Nyuki wakubwa si wenye kuuma kama wale nyuki wadogo, hawa nyuki wadogo ni hatari sana wakikuuma maana wanaweza kusababisha hata kifo, ukilinganisha na nyuki wakubwa ambao inasemekana si wenye kuuma.
 
NAMNA YA KUTUMIA TANGAWIZI KWA TIBA
Kutibu kutokusagika kwa chakula tumboni, Gesi tumboni, Msokoto wa tumbo (bila kuharisha), Kutapika, Mshtuko/Mkazo wa ghafula (wa msuli),Maumivu ya tumbo na Kibofu cha mkojo ikiambatana na Homa, Mafua, Kukohoa na Pumu.

TUMIA JAM YA TANGAWIZI.
JINSI YA KUTENGENEZA JAM YA TANGAWIZI.
Kamua TANGAWIZI mbichi kisha changanya maji yake (Juice) na Sukari. Chemsha mpaka mchanganyiko huo uwe mzito. Ongeza Zafarani iliyosagwa,Iliki iliyosagwa, Kungumanga zilizosagwa na karafuu iliosagwa. Iweke dawa hii vizuri na tumia inapo hitajika.

KWA KUVIMBIWA NA KUTAKA HAMU YA KULA.
Changanya Juice ya TANGAWIZI, Juice ya Limau na Chumvi Mawe kwa vipimo vilivyo sawa. Hakikisha umechanganya vizuri. Kunywa dawa hii kabla ya Chakula.
Vingineyo changanya vipimo vilivyo sawa sawa vya Juice ya TANGAWIZI na Sukari Mawe. Koroga vizuri, kunywa kabla ya kula chakula. Dawa hii husafisha Ulimi na Koo na hukuongeza hamu ya kula na kukufanya mchangamfu.


MAUMIVU YA KOO NA KUKAUKA SAUTI
Tafuna vipande vidogo vya Tangawizi.

KWA KUHARISHA
Chua sehemu zinazozunguka kitovu kwa Juice ya Tangawizi.

KWA KISUKARI
Kunywa Juice ya Tangawizi iliyochanganywa na Sukari mawe.

KIUNGULIA, KUKOSA HAMU YA KULA NA BAWASIRI
Tumia Samasarkara Churna.

KICHEFUCHEFU NA KUTAPIKA
Kunywa mchanganyiko wa Juice ya Tangawizi na Juice ya Kitunguu.

MAUMIVU YA KICHWA CHA WASIWASI
Changanya Juice ya Tangawizi na Maziwa, kisha kausha. Nusa unga huo kama Tumbaku.

MAUMIVU MAKALI YA TUMBO
Changanya kijiko kimoja cha au viwili vya Tangawizi iliyosagwa na kijiko kimoja au viwili vya mafuta ya Kastoroli. Kunywa kijiko kimoja mara mbili kwa siku.

BARIDI YABISI SUGU
Changanya kijiko kimoja cha Tangawizi ya unga na vijiko 24 vya maji kunywa mchanganyiko huu ukiwa vuguvugu. Ulale na ujifunike mpaka utoe jasho.

KUUMWA JINO NA MAUMIVU YA KICHWA
Chukua Tangawizi ya Unga koroga na maji kidogo iwe nzito kama tope. Jipake na uchue kwenye paji lako la uso kabla ya kulala. Kwa Jino jipake na uchuwe kwenye Shavu.
 
Dawa Tosha,sasa mbona hatufugi nyuki kwa wingi,maybe ktk kilimo kwanza wataalam watuhamasishe tulime na kufuga nyuki
Although honey is one of the most important products of the bee, yet it is not the only product.
Honey wax, propolis, nectar, bee toxicant are cases in point of other products that proved by experimental science to be of medical benefits.

Honey has more than 80 materials of sugar vitamins and 15 materials of sugars, particularly fructose, glucose, minerals, amino acids and about 5% of unclassified materials.


______________________________________________________________
** "containing healing for mankind" is an explicit verse indicating that honey is a treatment as well as a nutrient.
__________________
____________________________________________


Benefits of honey:

Alleviating inflammation of cornea if used locally on the eye.

An antibiotic if used locally in situ of wounds and burns, and it is used for healing of wounds :-
When used in treatment of wounds, thanks to its ability to absorb moisture from the air, honey facilitates healing process and prevents scarring. This is because honey stimulates the growth of epithelial cells that form the new skin cover over a healed wound. In this way, even in case of large wounds, honey may eliminate the need for tissue transplantation.

- Honey stimulates the re-growth of tissue involved in the healing process. It stimulates the formation of new blood capillaries and the growth of fibroblasts that replace the connective tissue of the deeper layer of the skin and produce the collagen fibres that give strength to the repair.


- Honey has an anti-inflammatory action, which reduces the swelling around a wound. This improves circulation and thus hastens the healing process. It also reduces pain.


- Honey does not stick to the underlying wound tissues, so there is no tearing away of newly formed tissue, and no pain, when dressings are changed.

-Thanks to its aforementioned antimicrobial property, honey provides a protective barrier to prevent wounds becoming infected. It also rapidly clears any existing infection from wounds. It is fully effective, even with antibiotic-resistant strains of bacteria. Unlike antiseptics and antibiotics, there is no impairment of the healing process through adverse effects on wound tissues.
- Some studies showed that honey is a good treatment against the hospital infection bacteria "superbugs" (MRSA) .

______________________________________________________________
As honey does not accommodate bacteria, this bactericide (bacteria-killing) property of honey is named "the inhibition effect." There are various reasons of this anti-microbial property of the honey. Some examples are: the high sugar content that limits the amount of water microorganisms need for growth, its high acidity (low pH) and composition which deprive bacteria from nitrogen necessary for reproduction. The existence of hydrogen peroxide as well as antioxidants in the honey prevent bacteria growth.
_______________________________________________________________

Antioxidant: Everyone who wants to live a healthier life should consume antioxidants. Those are the components in cells that get rid of harmful byproducts of normal metabolic functions. These elements inhibit destructive chemical reactions that cause spoilage of food and many chronic illnesses. Researchers believe food products rich in antioxidants may prevent heart problems and cancer. Strong antioxidants are present in honey content: Pinocembrin, pinobaxin, chrisin and galagin. Pinocembrin is an antioxidant that merely exists in the honey.

* A treatment for gastric and duodenal ulcers, as honey decreases the secretion of hydrochloric acid to a normal rate, thus helping to heal such ulcers and alleviate the related pains and reduce resultant cases of vomiting and colic. For the treatment to be effective, honey should be taken dissolved in warm water one or two hours before meals.

* A treatment for involuntary urination at beds. Such a disease that could often be a result of psychic or neurotic cause. So, if the child is given one small spoon of honey before sleeping, this will have a positive effect, as honey is sedative for the nervous system, thus helping the cyst to relax and expand during sleep. Concentrated sugar also helps to absorb water from the child body.

It supports blood formation: Honey provides an important part of the energy needed by the body for blood formation. In addition, it helps in cleansing the blood. It has some positive effects in regulating and facilitating blood circulation. It also functions as a protection against capillary problems and arteriosclerosis.


A treatment for colds, flu and pharyngitis.
A treatment for cases of chronic hepatitis, as honey increases the liver stock of the glycogen material through the increase of blood glucose, thus helping the liver to function properly and relieve it from more burdens.
A treatment for insomnia and a sedative for nerves, as it contains some sedative and tonic substances as sodium and potassium at a reasonable rate such.


A treatment for alcoholic poisoning.
Honey is one of the main nutrients prescribed in hospitals and clinics of alcoholic addicts, as it protects the liver from alcoholic poisoning. Fructose and vitamin B group in the honey helps oxidize the alcohol remaining in the body.
A treatment for cough.
In cosmetics, a mixture of honey with lemon and glycerin is considered of the best old medical prescription for the treatment of skin cracking and roughness, the inflammation and wounds of lips, sun stroke, and dermal pigments. Many ointments and creams contain honey as a main element for the treatment of skin diseases.

A treatment for muscular spasm of sportive exercises or facial spasms and eyelids muscles, which disappear after having one big spoon of honey for three days after each meal.



Facts on honey and cinnamon:
It is found that mixture of Honey and Cinnamon cures most of the diseases. Honey is produced in most of the countries of the world.

Ayurvedic as well as Yunani medicine have been using honey as a vital medicine for centuries.

Scientists of today also accept honey as a "Ram Ban" (very effective) medicine for all kinds of diseases. Honey can be used without any side effects for any kind of diseases.

Today's science says that even though honey is sweet, if taken in the right dosage as a medicine, it does not harm diabetic patients.

Weekly World News, a magazine in Canada, on its issue dated 17 January, 1995 has given the following list of diseases that can be cured by Honey and Cinnamon as researched by western scientists.

HEART DISEASES: Make a paste of honey and cinnamon powder, apply on bread, chappati, or other bread, instead of jelly and jam and eat it regularly for breakfast. It reduces the cholesterol in the arteries and saves the patient from heart attack. Also those who already had an attack, if they do this process daily, they are kept miles away from the next attack.

Regular use of the above process relieves loss of breath and strengthens the heartbeat. In America and Canada, various nursing homes have treated patients successfully and have found that as age the arteries and veins lose their flexibility and get clogged; honey and cinnamon revitalizes the arteries and veins.

INSECT BITES: Take one part honey to two parts of lukewarm water and add a small teaspoon of cinnamon powder, make a paste and massage it on the itching part of the body slowly. It is noticed that the pain recedes within a minute or two.

ARTHRITIS: Arthritis patients may take daily, morning and night, one cup of hot water with two spoons of honey and one small teaspoon of cinnamon powder. If taken regularly even chronic arthritis can be cured.

In a recent research conducted at the Copenhagen University, it was found that when the doctors treated their patients with a mixture of one tablespoon Honey and half teaspoon Cinnamon powder before breakfast, they found that within a week out of the 200 people so treated practically 73 patients were totally relieved of pain and within a month, mostly all the patients who could not walk or move around because of arthritis started walking without pain.

HAIR LOSS: Those suffering from hair loss or baldness, may apply a paste of hot olive oil, one tablespoon of honey, one teaspoon of cinnamon powder before bath and keep it for approx. 15 min. and then wash the hair. It was found to be effective even if kept on for 5 minutes.

BLADDER INFECTIONS: Take two tablespoons of cinnamon powder and one teaspoon of honey in a glass of lukewarm water and drink it. It destroys the germs in the bladder.

TOOTHACHE: Make a paste of one teaspoon of cinnamon powder and five teaspoons of honey and apply on the aching tooth. This may be applied 3 times a day till the tooth stops aching.

CHOLESTEROL: Two tablespoons of honey and three teaspoons of Cinnamon Powder mixed in 16 ounces of tea water, given to a cholesterol patient, was found to reduce the level of cholesterol in the blood by 10% within 2 hours. As mentioned for arthritic patients, if taken 3 times a day, any Chronic cholesterol is cured. As per information received in the said journal, pure honey taken with food daily relieves complaints of cholesterol.

COLDS: Those suffering from common or severe colds should take one tablespoon lukewarm honey with 1/4 spoon cinnamon powder daily for 3 days. This process will cure most chronic cough, cold and clear the sinuses.

INFERTILITY: Yunani and Ayurvedic Medicine have been using honey for thousands of years to strengthen the semen of men. If impotent men regularly take two tablespoon of honey before going to sleep, their problem will be solved.


_______________________________________________________________
In China, Japan and Far-East countries, women, who do not conceive and need to strengthen the uterus, have been taking cinnamon powder for centuries. Women who cannot conceive may take a pinch of cinnamon powder in half teaspoon of honey and apply it on the gums frequently throughout the day, so that it slowly mixes with the saliva and enters the body.

A couple in Maryland, USA, had no children for 14 years and had lost hope of having a child of their own. When told about this process, husband and wife started taking honey and cinnamon as stated above; the wife conceived after a few months and had twins at full term.

_______________________________________________________________


UPSET STOMACH: Honey taken with cinnamon powder cures stomachache and also clears stomach ulcers from the root.

GAS: According to the studies done in India & Japan, it is revealed that if honey is taken with cinnamon powder the stomach is relieved of gas.

IMMUNE SYSTEM: Daily use of honey and cinnamon powder strengthens the immune system and protects the body from bacteria and viral attacks. Scientists have found that honey has various vitamins and iron in large amounts. Constant use of honey strengthens the white blood corpuscles to fight bacteria and viral diseases.

INDIGESTION: Cinnamon powder sprinkled on two tablespoons of honey taken before food, relieves acidity and digests the heaviest of meals.

INFLUENZA: A scientist in Spain has proved that honey contains a natural ingredient, which kills the influenza germs and saves the patient from flu.

LONGEVITY: Tea made with honey and cinnamon powder, when taken regularly arrests the ravages of old age. Take 4 spoons of honey, 1 spoon of cinnamon powder and 3 cups of water and boil to make like tea. Drink 1/4 cup, 3 to 4 times a day. It keeps the skin fresh and soft and arrests old age.

Life spans also increases and even a 100 year old, starts performing the chores of a 20-year-old.

PIMPLES: Three tablespoons of Honey and one teaspoon of cinnamon powder paste. Apply this paste on the pimples before sleeping and wash it next morning with warm water. If done daily for two weeks, it removes pimples from the root.

SKIN INFECTIONS: Applying honey and cinnamon powder in equal parts on the affected parts cures eczema, ringworm and all types of skin infections.

WEIGHT LOSS: Daily in the morning 1/2 hour before breakfast on an empty stomach and at night before sleeping, drink honey and cinnamon powder boiled in one-cup water. If taken regularly it reduces the weight of even the most obese person.

Also, drinking of this mixture regularly does not allow the fat to accumulate in the body even though the person may eat a high calorie diet.

CANCER: Recent research in Japan and Australia has revealed that advanced cancer of the stomach and bones have been cured successfully. Patients suffering from these kinds of cancer should daily take one tablespoon of honey with one teaspoon of cinnamon powder for one month 3 times a day.

FATIGUE: Recent studies have shown that the sugar content of honey is more helpful rather than being detrimental to the strength of the body. Senior citizens, who take honey and cinnamon power in equal parts, are more alert and flexible.


________________________________________________________________
Dr. Milton who has done research says that a half tablespoon honey taken in a glass of water and sprinkled with cinnamon powder, taken daily after brushing and in the afternoon at about 3.00 p.m. when the vitality of the body starts to decrease, increases the vitality of the body within a week.
________________________________________________________________

BAD BREATH: People of South America, first thing in the morning gargle with one teaspoon of honey and cinnamon powder mixed in hot water. So their breath stays fresh throughout the day.

HEARING LOSS: Daily morning and night honey and cinnamon powder taken in equal parts restore hearing.



**"Your Lord revealed to the bees: "Build dwellings in the mountains and the trees, and also in the structures which men erect. Then eat from every kind of fruit and travel the paths of your Lord, which have been made easy for you to follow." From inside them comes a drink of varying colours, containing healing for mankind. There is certainly a Sign in that for people who reflect"
(Qur'an 16: 68)


X-Paster
 
Asali inafaa sana kwenye shughuli nzima ya kufanya mapenzi! Its a good lubricant na inaongeza mnato! For smooth sex man can apply honey on his part before penetration especially if the partner has a dry va....kama foreplay cant help go for honey

ha ha Rev kumbee! Thanks
 
Back
Top Bottom