Binti Kirembwe
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 307
- 324
Haaaa haaaa haaaaa, atafika mbali wapi?achukue tuzo ya mshabiki bora afrika??
Hahhaha hapo nimetoa ushauri kibongo bongo....Haaaa haaaa haaaaa, atafika mbali wapi?achukue tuzo ya mshabiki bora afrika??
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu kajiangalie kwenye kioo halafu ongea huu ujinga wako uliouandika hapa halafu utapata jibu
Daaaaah wanahama hama hivyo ndio basi tena wameshafungwaaaMoja kati ya timu tishio na yakuogopwa barani africa AS VITA imeingia mjini kikomandoo na kuapa kutekeleza mission yao ya siri kikomandoo bila kuithiri diplomasia za nchi zetu mbili kati ya CONGO na TANZANIA..
Mapema leo as vita ilionekana kwenye hoteli moja mjini lakini baada ya wale wazee wa SPRAY na NDUMBA kupewa taarifa walipo wasakata kabumbu hao walienda na vitendea kazi vyao bila kuwakuta wahusika..
Inasemekana as vita wamechukua hotel 5 tofauti na hawakai eneo moja kwa zaidi ya masaa mawili kwa ajili ya usalama wao..ni mambo ya ajabu kabisa hata kuyaelezea lakini ndio hvyo mikia wamewekeza kwenye ndumba na fitna zaidi kuliko kusakata kabumbu uwanjani.
Mikia mnalitia aibu taifa bila kujijua, lakin pamoja na kashfa hizo za ndumba na kupuliza rungu spray kipigo chenu kipo pale pale.
Tukutane jmos taifa mida ya saa moja nitakua na jezi yangu pendwa ya kijani na njano....MUNGU IBARIKI AS YANGA VITA
Mungu ibariki team yetu pendwa ya kocha wetu mwinyi zahera
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mchawi sio lazima utembee na matunguli, kuwa na fikra kama zako tu, zinatosha kukuelezea haiba yako!Moja kati ya timu tishio na yakuogopwa barani africa AS VITA imeingia mjini kikomandoo na kuapa kutekeleza mission yao ya siri kikomandoo bila kuithiri diplomasia za nchi zetu mbili kati ya CONGO na TANZANIA..
Mapema leo as vita ilionekana kwenye hoteli moja mjini lakini baada ya wale wazee wa SPRAY na NDUMBA kupewa taarifa walipo wasakata kabumbu hao walienda na vitendea kazi vyao bila kuwakuta wahusika..
Inasemekana as vita wamechukua hotel 5 tofauti na hawakai eneo moja kwa zaidi ya masaa mawili kwa ajili ya usalama wao..ni mambo ya ajabu kabisa hata kuyaelezea lakini ndio hvyo mikia wamewekeza kwenye ndumba na fitna zaidi kuliko kusakata kabumbu uwanjani.
Mikia mnalitia aibu taifa bila kujijua, lakin pamoja na kashfa hizo za ndumba na kupuliza rungu spray kipigo chenu kipo pale pale.
Tukutane jmos taifa mida ya saa moja nitakua na jezi yangu pendwa ya kijani na njano....MUNGU IBARIKI AS YANGA VITA
Mungu ibariki team yetu pendwa ya kocha wetu mwinyi zahera
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Sent using Jamii Forums mobile app
ZuzuMungu ibariki Africa.
SIMBA hakika atashinda Njaa!
Mungu ibariki AS YANGA Vita!
Kitu unacho paswa kufaham ni kwamba ,Embu kajiangalie kwenye kioo halafu ongea huu ujinga wako uliouandika hapa halafu utapata jibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila punguzeni uchuroKitu unacho paswa kufaham ni kwamba ,
Atuwezi kuwa mrengo mmoja ,na kama wote tutakua wa mrengo mmoja ,kutakua na tatizo katika ufaham wetu yakhe ,faham ilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nyie mulikua hivi kipind kile,tulipokua tukicheza mechi zetu za club bingwa ,tulivumilia tena kuna kipind hans pope mwenyew kumsikia kupitia radio one ,akiombea tufungwe shekhe ,aitatokea nikaiombea simba ushindi hata kwakurogwa siwez fanya
Basi endeleen kutesekaHata nyie mulikua hivi kipind kile,tulipokua tukicheza mechi zetu za club bingwa ,tulivumilia tena kuna kipind hans pope mwenyew kumsikia kupitia radio one ,akiombea tufungwe shekhe ,aitatokea nikaiombea simba ushindi hata kwakurogwa siwez fanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Amna anaeteseka ila Wallah
Karibuuuu taifa keshoAmna anaeteseka ila Wallah
Nimeomba Mungu sana ,
Kama mtashinda itakua rizk yenu ,ila amshindi kabsa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliekuambia tunashida yakwenda huko kwa kupitia migongo ya mikia nanii?Kuwa mchawi sio lazima utembee na matunguli, kuwa na fikra kama zako tu, zinatosha kukuelezea haiba yako!
Inamaana hujui Simba ikifanya vizuri mwakani nchi yetu itaongeza wawakilishi automatic?
Nimeamini kuwa KUJUA KUSOMA NA KUANDIKA HAKUJAWA SULUHISHO LA UJINGA!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanesco wasipokata umeme nitakujuza mtani usiwe Na hofuNinA majukumu mikoani ,ila nitaangalia kwenye television
Ila kila goli likiingia unitag
Sent using Jamii Forums mobile app