Duh wamasai Wana madawa aisee loh, kumbe ndo mambo huwa iko ivo. Rip watoto jamaniInawaficha ,sasa inaonesha wale watoto hawakupaka
Nakwenye mila zao mfano ng'ombe akipotea nilazima watoto ndio waaze kutafuta na wakishindwa kuwaona hurudi nyumbani kutoa taarifa na kunadawa hufunga sehemu ili kuwakinga ng'ombe hao wasionekane na wanyama kama simba ,fisi ili wasiuawe nakutafunwa
Baada yahapo wazazi wao ndo huaza kuwatafuta na huwakuta wakiwa sehemu wametulia na kuswagwa kurudi nao
Wale watoto inaonesha hawakupaka ile dawa kwa ukamilifu
Mungu awarehemu
umewai fika ngorongoro mkuu kule ni maisha yao ya kawaida hii kuliwa na simba bahati mbaya tu ila kila siku wanachunga ng'ombe humo hifadhini na simba hawawafanyi kitu sana sana huwa wanaogopa nyati tu ndio wako aggressiveMiaka sitini ya uhuru watoto wadogo bado wanakatiza mbuga kwa miguu kwenda shule
Ulipoteza nafasi, ungeshuka nae.Ile dawa yao ni hatari inanuka balaa ,kuna siku kuna mmasai mwanadada alipanda basi alitokea mvomero akawa anaenda msamvu ,noma abiria ilibidi wamwambie dereva amshushe alikuwa anatema harufu kali ndio wadau wakasema ni dawa yao ili wasivamiwe na wanyama wakali.
Hakika ni jambo la kusikitisha sana tunaishi ki ujima ujimaMiaka sitini ya uhuru watoto wadogo bado wanakatiza mbuga kwa miguu kwenda shule
No simba nilisikia hapendi nyama za wanyama wanaokula nyama.Umeshawahi kusikia simba kala fisi??😁😁 niliwahi kusikia hii enzi hizo kua nyama ya binadamu ina chumvi chumvi wanyama wakali wanaipenda, sijui ni kweli au ndo ile kudanganyana tu
Huwa kuna sababu kwa nini simba anakamata binadamu na kuwala. Hii documentary niliangalia zamani kuhusu simba mla watu wa Rufiji.
Hao wauwawe tu hakuna ujanja hapo.Asante kwa video hii.Kwa maana hiyo wana simba waliokula watoto lazima wauwawe kwa maana wameshaonja nyama ya binadamu