dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,786
- 56,637
... duh! Anakosa raha kutokana na mauji aliyofanya! Halafu niliwahi kusikia mara nyingi simba wala watu ni ile mizee isiyoweza mikiki ya kukimbizana na wanyama.Anakuwa kakaa sehemu moja tuu kama hana raha alafu kwenye kumsaka akiona binadamu huwa anawahi kukimbia mbio balaa hata kama hujaanza kumfikia