Arusha: Watoto watatu waliwa na Simba

Arusha: Watoto watatu waliwa na Simba

kijiji ndani ya hifadhi
Maranyingi watoto huweza kuwakwepa tembo tu mana ile asubuhi wanavorudi toka kunywa maji
 
Ile dawa yao ni hatari inanuka balaa ,kuna siku kuna mmasai mwanadada alipanda basi alitokea mvomero akawa anaenda msamvu ,noma abiria ilibidi wamwambie dereva amshushe alikuwa anatema harufu kali ndio wadau wakasema ni dawa yao ili wasivamiwe na wanyama wakali.
Kumbe ni dawa huwa wanapaka kabisa kwanini hawakuwapaka hao watoto sasa.
 
Kwa majina na eneo itakuwa jamii ya Wamasai ambao wanaishi jirani sana na simba. Hio ni ajali tu, ila huyo simba atatafutwa hadi auawe kwasababu kashaonja nyama ya mtu hataacha.
Huo ni mda wa wanyama kutafuta mlo pamoja na jioni saa tisa hadi kumi na moja kasoro
 
Najua kwa sababu ya umbali wa shule lakini ni bora wawe wanapelekwa na wazazi na kurudishwa hata kama wakiwa wanajipa zamu wazazi wote

Wenzetu ni marufuku mtoto kwenda shule peke yake na ndio mjini
 
"...majira ya saa nne asubuhi katika Kijiji hicho wakati wanafunzi hao wakijerea nyumbani kutoka shuleni ..."

hiyo shule wanafunzi wanaenda shule mdaga gani na wanatoka muda gani? ama walikuwa wameelekezwa warejee nyumbani na walimu?
kama hujui mambo ya vijiji vingi vya tanzania uwe unauliza baadhi ya shule madarasa ni machache na waalimu ni wachache mfano hufanya wiki hili darasa la kwanza hadi la nne waje asubuh na kurudi sa4 la tano mpaka la saba waje sa4 mpaka sa8 ili madarasa yatosheleze na walimu watosheleze unakuta shule wanafunzi 600 walimu wanne tu
 
Back
Top Bottom