Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,850
- 15,266
Wananchi mkoani hapa wamekuwa wakilalamika ushuru wa kiasi cha sh. elf mbili kwa mwezi wanaotozwa kwa ajili ya taka kwa madai kuwa ushuru huo ni mkubwa tofauti na taka wanazozalisha majumbani.
Baadhi ya wananchi hao wamesema kuwa kwa maisha ya kawaida wanakoishi majumbani wengi hawazalishi taka nyingi kiasi Cha kutozwa sh. Elfu mbili kila mwezi hivyo imekuwa mzigo kwao kwani wamekuwa wakilalamika kila wakati lakini hakuna utatuzi wa jambo hilo.
Halmashauri ya jiji la Arusha imekuwa ikitoza she elfu mbili kwa mwezi kwa kila kaya na sh. Elf tano kwa mwezi kwa kila duka kwa ajili ya uzoaji taka.
Baadhi ya wananchi hao wamesema kuwa kwa maisha ya kawaida wanakoishi majumbani wengi hawazalishi taka nyingi kiasi Cha kutozwa sh. Elfu mbili kila mwezi hivyo imekuwa mzigo kwao kwani wamekuwa wakilalamika kila wakati lakini hakuna utatuzi wa jambo hilo.
Halmashauri ya jiji la Arusha imekuwa ikitoza she elfu mbili kwa mwezi kwa kila kaya na sh. Elf tano kwa mwezi kwa kila duka kwa ajili ya uzoaji taka.