Arusha: Wakuu wa Shule ambao Shule zao zimefanya vibaya kitaifa wapewa vinyago vya sokwe

Hayo mambo ya kumotisha hivyo ni ujima, ni mambo ya kizamani na hayahamasisi walimu kupata matokeo mazuri. Mwalimu anatakiwa apate mshahara mzuri na posho za kujikimu pamoja na stahiki zingine ndio atahamasika kupata matokeo mazuri, sio hivyo vichekesho
 
Hii inaonesha jinsi tusivyojitambua na kuutambua utu wetu, watu wote waliopo kwenye picha wanaonekana kulifurahia jambo hilo bila kuelewa madhara yake! Hii ndiyo hali halisi kuwa mtanzania anaweza kutawaliwa vyovyote vile na akawa kainamisha kichwa kama kondoo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…