ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
shalom ndugu zangu wote wanaJF pamoja na techinical team yote ya JF, napenda kutanguliza pongezi zangu nyingi kwa kazi ngumu mliokua mnaifanya kwa kipindi chote hicho, infact u deserve lots of congrats for what u did.
back to my topic:
Nimeona haitakua mbaya nikianza na hii thread kwenye hii system mpya.
siku si nyingi nilikua arusha lakini kuna kitu ambacho sijakifurahia kabisa kwa sababu sikutarajia mji ambao unajina kubwa namna hiyo duniani kwote kuwa mji mchafu kiasi kile, mji hauna barabara za kueleweka, kama zipo ni nyembamba mbaya zaidi hapohapo watu wanafanya biashara chini kwenye matope kama vile hamna serikali kabisa. Kwa kweli nilishindwa kuelewa kwanini mji unaojulikana kama geneva of africa unakua vile, mji unabiashara nyingi zinazoingiza hela kibao pale lakini hamna kitu chochote.
kitu kingine nachoshindwa kuelewa ni kuhusu ukimya wa manispaa, je hawaoni zile barabara? na je kuhusu sheria ndogondogo za mji hazipo??
je hamna kitu cha kujifunza kutoka mji jirani wa moshi?? ukizingatia mji kama ule unatembelewa na wageni mashuhuri kibao sasa wanandoka na picha gani??
back to my topic:
Nimeona haitakua mbaya nikianza na hii thread kwenye hii system mpya.
siku si nyingi nilikua arusha lakini kuna kitu ambacho sijakifurahia kabisa kwa sababu sikutarajia mji ambao unajina kubwa namna hiyo duniani kwote kuwa mji mchafu kiasi kile, mji hauna barabara za kueleweka, kama zipo ni nyembamba mbaya zaidi hapohapo watu wanafanya biashara chini kwenye matope kama vile hamna serikali kabisa. Kwa kweli nilishindwa kuelewa kwanini mji unaojulikana kama geneva of africa unakua vile, mji unabiashara nyingi zinazoingiza hela kibao pale lakini hamna kitu chochote.
kitu kingine nachoshindwa kuelewa ni kuhusu ukimya wa manispaa, je hawaoni zile barabara? na je kuhusu sheria ndogondogo za mji hazipo??
je hamna kitu cha kujifunza kutoka mji jirani wa moshi?? ukizingatia mji kama ule unatembelewa na wageni mashuhuri kibao sasa wanandoka na picha gani??