Vipi nafasi ya kidumu cha pembeni ipo naomba japo usiku mmojaNdio mahawara hawaachani..... na ninajua kuwa hajaniacha wala nini.ni majukumu tu ya kujenga nchi ndio yamembana.Lakini mie na yeye ni mpaka Kifo. Arushaone ndo jana kaniomba msamaha eti turudiana.............khaaaaaa!!!!!!!Kumbe bado ananipenda.
Mie ni huyo wa Kati Kati, mwenye nguo Nyeusi nyeusi, Nakufaa?
Naitwa Madame B.
Nina Shemeji zangu watano.......... watu8, Nicas Mtei, Judgement, Mungi na Filipo.
Somo wangu ni gfsonwin, Kungwi wangu ni snowhite na Nyakanga wangu ni Lisa.
Nina Shosti zangu wa Ukwenhe....hatuogopi Mvua wala jua.......Popote tunalianzisha.. Paloma, Raiza, mwaJ, Mamndenyi, Evelyn Salt, dadawhite.
Nina wa Kunyumba wangu......... TA moja hiyo, stendi ya kwanza Korogwe Hoteli... King'asti.
Nina kaka zangu humu........ Mtambuzi, Mjeda, Erickb52, Mwanyasi, MziziMkavu, Mshuza2 na Tuko.
Nina Mjukuu mwenzangu mtukutu kama mimi....... Kongosho, Tuko na Babu yetu Dark City.
Nina wapenzi wangu humu... Chimbuvu, Chilli, tedo, Ben Saanane.......bila kuwasahau waliopita wakiongozwa na wa sasa Arushaone.
Nina wifi zangu humu....... charminglady, marejesho, Lily Flower na measkron.........japo mdogo wangu beibe nasty Judgement amembania.
Nina wanywaji wenzangu humu..... tukiongozwa na Asprin,... Bujibuji,... manoah,... Kipaji Halisi,... KakaKiiza,... cacico,... Paloma,... Mtambuzi, figganigga,..
Nina Kundi langu la MKODOBWE INC.COM....
Na vile vile tuna Pub yetu Maarufu ya kukutana iitwayo LEO TUPO HAPA PUB pale Mny'amala A au BRAJEC pale Survey.
Baada ya kusema yote hayo.............. Je, Utapenda kuwa na Mimi?
Tuma maombi yako hapa.
CC: asakuta same, Shark na bacha, Baba V na Nitonye
Paloma how are you today
mwambie huyu dogo asilete mapozi ya kizamani humu, we are tired of him.
" Dear zilipendwa wangu Madame B, nadhani kiafya ni mzima, hata nami sijambo...... Mamndenyi, hiyo ndio Message aliyonitumia.
Dhumuni la waraka huu ni kukuomba mimi na wewe turudiane kwa maana uliyokuwa unanifanyia ni mazito.........
Naamini sitapata mwanamke mwingine kama wewe,
Natumaini Ombi langu litakubaliwa...........nimekuzoea Baby wwangu, nakufa taratibu mwenzio"
Ni mimi niliyewahi kuwa mumeo Arushaone.
" Dear zilipendwa wangu Madame B, nadhani kiafya ni mzima, hata nami sijambo...... Mamndenyi, hiyo ndio Message aliyonitumia.
Dhumuni la waraka huu ni kukuomba mimi na wewe turudiane kwa maana uliyokuwa unanifanyia ni mazito.........
Naamini sitapata mwanamke mwingine kama wewe,
Natumaini Ombi langu litakubaliwa...........nimekuzoea Baby wwangu, nakufa taratibu mwenzio"
Ni mimi niliyewahi kuwa mumeo Arushaone.
Nipo fresh my switito....naangalia inji hii sijui inakwenda wapi .....wrong.....wale wanaipeleka wapi!!!
ona madogo wameanza kuchanganya madesa mapeeema!!!
Madame B wakat Arushaone anasema wa nini Ben Saanane anasema ntampata lini
au aliona utazuzuka na hiyo suti yake ya kipaimara?
Halafu mbona listi ni ndefu vp kutakuwa na usalama kweli?
Madame B ndoa yako na nani?CC yako nimeipata na imetue mezani kwangu.
Msinione kimya jamani...........napanga mipango ya Ndoa yangu.