Arusha vs dar es salaam


Ha ha ha ha....Dah bonge ya Intro...
 
Kama kudrive itakupa shida ita teks fasta uje nikukamue... Maana kulala umevimbiaa mijuice itakuwa ngum

kuna mtu yeye ndiye huita teks na huja kwangu fasta kunikamua!!! niko mwepesiiiiiiii!!!
cc darling sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Dogo angalia utabemendwa..... Sio badae uanze kulalamika oooh sasa naomba ushauri
 
Kabla sijakupigia debe hebu niondoe kwenye hili kundi la kaka zako. Kwa sasa niweke hapo kwa akina Asprin wakati nikifanya mchakato wa kupanda hapo walipo kina Chimbuvu

Na wewe unataka kufunga tela!? kweli u bushoke kipaji, unataka uwe mume wa kumi na tatu na nusu!??
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Baba V naona kama unaniota kwenye ndoto zako wakati umelala na mkeo Mama v

Au ulikuwa unanitumia PM ukiwa umelewa..!?? wewe si ndo ulisema unahitaji kuonana na mimi this week end eti kisa Mr Rocky tangu alivyoondoka ijumaa kuu hujamuona..!!? na kuwa aliondoka na hela zako za upatu...!?? namuona hapa chini anachungulia, ngoja ajibu
 
Last edited by a moderator:
Baba V siamini kama unao ujanja wa kunipa pesa
hela ya Mr Rocky inanitosha tu jamani.

 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha
haaaa
si umesema hawara hawaachani?

Ndio mahawara hawaachani..... na ninajua kuwa hajaniacha wala nini.
ni majukumu tu ya kujenga nchi ndio yamembana.
Lakini mie na yeye ni mpaka Kifo.
Arushaone ndo jana kaniomba msamaha eti turudiana.............khaaaaaa!!!!!!!
Kumbe bado ananipenda.
 
Last edited by a moderator:
Madame B
weka ile pm ya Arushaone hapa tumsute mwana kusutwa huyu.

Ndio mahawara hawaachani..... na ninajua kuwa hajaniacha wala nini.
ni majukumu tu ya kujenga nchi ndio yamembana.
Lakini mie na yeye ni mpaka Kifo.
Arushaone ndo jana kaniomba msamaha eti turudiana.............khaaaaaa!!!!!!!
Kumbe bado ananipenda.
 
Last edited by a moderator:
Madame B
weka ile pm ya Arushaone hapa tumsute mwana kusutwa huyu.

" Dear zilipendwa wangu Madame B, nadhani kiafya ni mzima, hata nami sijambo.
Dhumuni la waraka huu ni kukuomba mimi na wewe turudiane kwa maana uliyokuwa unanifanyia ni mazito.........
Naamini sitapata mwanamke mwingine kama wewe,
Natumaini Ombi langu litakubaliwa...........nimekuzoea Baby wwangu, nakufa taratibu mwenzio"
Ni mimi niliyewahi kuwa mumeo Arushaone.




..... Mamndenyi, hiyo ndio Message aliyonitumia.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…