Arusha vs dar es salaam

hapa ndo mahala pake maneno yote utayamaliza maana gwaride lake si mchezo
Natamani nikutie mkononi wewe mpaka uombe poo

SIDANGANYIKI NG'OO

Madame B ujue nakuona
na huo ukaka binamu wako
bado unanipa msongo wa mawazo.

Copy: Mr Rocky

Khaaaaaa!!!!!!!!!!
Ina maana hatuaminiani.
Nitambeba kweli mimi.


hapo Madame B sitaki kupasemea maana sweetlady aliniambia hayoo hayoo
:eyeroll1:
:eyeroll1::nono: Mamndenyi :nono::nono::nono::nono::nono:

........:A S angel::A S angel::A S angel::A S angel::A S angel:...........

Acha uwongo unataka kunipeperushia ndege wangu kwa taarifa yako mda si mrefu ninaenda kula good tyme naye

Hahahaha........... unajipa moyo

Mkuu nitonye hapo ukikabidhi funguo za Vogue kwa Madame B ushampata tayari

kaka hebu wape Mkwara hao wanaonifata fata.


acha wivu, au nifanye kweli?
 
@Madame B kama una ubavu fanya jaribu tuone.

acha wivu, au nifanye kweli?
[/QUOTE]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…