PoleniWakuu hapa kuna mvua kubwa kweli kweli Pomoja na radi, Imeanza tangu Mida ya saa tano,
Tuombeane uzima
Juhudi za rais wa awamu ya tano muulize mkuu wenu wa mkoa aliropoka hivyoWakuu hapa kuna mvua kubwa kweli kweli Pomoja na radi, Imeanza tangu Mida ya saa tano,
Tuombeane uzima
Poleni sana lakini hakuna aliyepotezs maisha?Baadhi ya mada raja yamesombwa, miti kudondoka
Wapi huko mkuu? Mbona sijaona hata tone la mvua huku niliko zaidi ya lightning?Baadhi ya mada raja yamesombwa, miti kudondoka
Imekata?Aisee usiku roho zilikuwa mikononi dah
Daraja lipi limesombwa na maji Chalii yangu!?Baadhi ya mada raja yamesombwa, miti kudondoka
Kwani unakaa Kijenge kwenye nyumba za biskuti au Mbauda mkuuAisee usiku roho zilikuwa mikononi dah
Dah na miss chuga sana na mvua ya radi. Yani ndio ianzie Friday night umenunua na kuweka msosi na madikodiko yote ya weekend hamna kutoka nje hadi Monday morning huku hupo na demu wako ndani ya blanket ameegemeza kichwa kifuani mwako baada ya mechi kali akisikia mapigo ya moyo. Darini paa la bati likia kwa sauti.Baadhi ya mada raja yamesombwa, miti kudondoka
Inaonekana wewe ni Jasiri Sana kwenye tasnia ya mvua kali na dhorubaAcha woga wenzako tabora wamekufa 5 wa familia moja we unaisikia tu unalalama