Arusha- Ukweli mchungu!

CHADEMA ni mti mwenye matunda ndo maana unapigwa sana mawe kama huku JK kila thread lazima ukute neno CHADEMA wanasema ukiona kitu watu wanakijadili sana basi ujue wanakikubali CHADEMA INAKUBALIKA kila mahali
 
Sizishangai akili zako na mada yako, hiki ni kiashiria wazazi wako wote wawili wana kadi za CCM. Ningekuwa siko bize ningeutumia muda huu kucheka. Mtoto wa muuza maandazi, makali ya kodi utayajulia wapi weye
 
Ukabila kwa chadema upo wazi sana lakini kuwapa nchi hatuwezi jamaa ni wezi na wakabila kweli hawafai kabisa.
 
Mwanza, mbeya, mara, kigoma, arusha, dar, iringa na singida huko pia hawataki kulipa kodi
 
Habari za watu watokao nyanda za juu kaskazini kuishabikia chadema kwanza wanaonyesha wana ukabila pili wanadai kuwa hawatalipa kodi ya serikali pindi chadema ikichukua inji tra haitawasumbua watoto wetu wapo huko na raisi lazima atoke kaskazini hao wengine wanatafuta umaruufu tu hapa chadema.
sasa nawauliza hiyo serikali itakuwa ya kibaguzi wao wasilipe wengine wasilipe je hiyo ni haki?

Usiwasemee wa kaskazini, hebu weka ushahidi wa hayo uliyoyasema tuyashuhudie wote
 
Habari za watu watokao nyanda za juu kaskazini kuishabikia chadema kwanza wanaonyesha wana ukabila pili wanadai kuwa hawatalipa kodi ya serikali pindi chadema ikichukua inji tra haitawasumbua watoto wetu wapo huko na raisi lazima atoke kaskazini hao wengine wanatafuta umaruufu tu hapa chadema.
sasa nawauliza hiyo serikali itakuwa ya kibaguzi wao wasilipe wengine wasilipe je hiyo ni haki?
uwezo wako wa kufikiri hapo ndo umefika mwisho
 
Ukabila kwa chadema upo wazi sana lakini kuwapa nchi hatuwezi jamaa ni wezi na wakabila kweli hawafai kabisa.
naunga unaandika kinyume mkuu hakuna chama chenye ukabila na udini kama ccm hilo lipo wazi
 
CHADEMA ni mti mwenye matunda ndo maana unapigwa sana mawe kama huku JK kila thread lazima ukute neno CHADEMA wanasema ukiona kitu watu wanakijadili sana basi ujue wanakikubali CHADEMA INAKUBALIKA kila mahali
Chadema mti gani wa matunda wakati majambazi kupindukia ukabila ndiyo mahala pake pale chadema.
 
we leta masihara tu, mbowe ni tapeli mkibwa. By the way,;umeshachangia kwa M-pesa fedha za kujirusha za Mbowe ili ajivinjari na Joyce!
una wivu ulitaka akajinjari na ww funguka tukusaidie mkuu
 
Napita zangu kwenda kuangalia mechi ya Liverpool Vs Newcastle na Konyagi+ embassy kwa mbaaaliii.:mvutaji:
 
Hayo umetunga tu wewe mwenyewe ili kuonyesha tu chuki yako na jinsi unavyoumizwa na CHADEMA. Na bado.
 
Ubongo wako una kansa upo mbioni kuiaga dunia wewe na magamba wenzio mlio na saratani sawa
 
Habari za watu watokao nyanda za juu Kaskazini kuishabikia CHADEMA kwanza wanaonyesha wana ukabila pili wanadai kuwa hawatalipa kodi ya serikali pindi CHADEMA ikichukua nchi TRA haitawasumbua watoto wetu wapo huko na rais lazima atoke Kaskazini hao wengine wanatafuta umaarufu tu hapa CHADEMA.

Sasa nawauliza hiyo serikali itakuwa ya kibaguzi wao wasilipe wengine wasilipe je hiyo ni haki?

Chagga deveopment manifeto
 
Back
Top Bottom