ANC-KWA ZULU NATAL
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 325
- 38
Ukombozi utaanzia Arusha mkuu...!!!
Tulia uone..
Kaka mbowe apeleke vurugu moshi na kna lema huwez kuharbu ajra za vjana ukasema ndio ukomboz huu ni upumbavu kwa nn kna lema na mbowe wasiende vwanja vya tpc,na moshi ushrka kwenda kuhandamana zlpo biashara zao wasituletee upumbavu arusha tumechoka polis wawashughulikie hawa jamaa...enz za mkapa huu upuuz usingeweza kuuona kla kukicha arusha vurugu na mahandamano tumechoka wakaandamane moshi