REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 956
huyu vuta nikuvute ni janga la kawaida tu la hapa nchini, mada zake za kijinga kijinga tu
kama za Mwigulu'
huyu vuta nikuvute ni janga la kawaida tu la hapa nchini, mada zake za kijinga kijinga tu
Mimi nafikiri wewe ndo mnafiki uliyepitiliza tatizo lenu kubwa kila mkifanyacho hamuweki kumbukumbu kama ambavyo mlivyosahau hata ahadi mlizoaidi, uko mbeya na mwanza amjawahi kuua?unatakiwa ujue wenye ufinyu wa mawazo ni hao wanaotoa maagizo ya kuua na wewe unaoshabikiaHuna lolote mnafiki wewe. Tunataka siasa safi. Kwani Arusha peke yake ndio cdm inanguvu? Mbona mwanza hatuoni fujo, mbeya je? Kinacho waharibia cdm ni ufinyu wa akili wala sio CCM.
Iringa hapo awali haikuwa na chama cha upinzani wananchi wa kule walikuwa hawaelewi nini maana ya upinzania, walitafsiri upinzania kama vita. Kutokana na umbumbumbu wa wananchi kuhusu vyama vingi CCM ilibweteka ikajisahau na ikaendelea na "Viahadi Feki kama ilivyozoea" Wakati hayo yakiendelea wananchi wakawa wanafunguka taratibu kuelewa dhana ya vyama vingi. CCM ni ZIMWI HATA KULE IRINGA!! CCM ni kama jini mahaba kwa wananchi wa Iringa ambalo kamwe hawataji liingilie ndoa yao na Chadema!!!
CCM ni JINI MAHABA
nadhani nchemba amepewa cheo kuisambaratisha chadema.na atakuwa analindwa.sisi yetu macho.inasemekana ludo alikuwa mtu wake pale chadema makao makuu.kuna tetesi kuwa ludo alikuwa mmoja wa watu waliomtesa kibanda.ukijaribu kuunganisha utapata majibu ya maswali mengi sana.
hahaa, unataka tuamini ulichoandika kwakua upo arusha?? kua Arusha pekee haileti maana yoyote ile....
Nina mashaka makubwa na mada yako.Haiwezekani hata siku moja kupenda chama kinachoua wananchi kinaowatawala.Hii itakuwa ni kiini macho.Acha kutudanganya.Hao ccm wakafanye hayo unayoyasema sehemu nyingine na sio Arusha.
Huna lolote mnafiki wewe. Tunataka siasa safi. Kwani Arusha peke yake ndio cdm inanguvu? Mbona mwanza hatuoni fujo, mbeya je? Kinacho waharibia cdm ni ufinyu wa akili wala sio CCM.
hahaa, unataka tuamini ulichoandika kwakua upo arusha?? kua Arusha pekee haileti maana yoyote ile....
Amen..... Umenena hata Shinyanga ambako watanzania wengi walifikiri wasukuma ni mbumbumbu wamegeuka sasa hawaelewi kitu upinzania umeshamiri na ukiona msukuma kawapa mgongo ujue imetoka hao mpaka kuwageuza tena miaka 50.
Iringa hapo awali haikuwa na chama cha upinzani wananchi wa kule walikuwa hawaelewi nini maana ya upinzania, walitafsiri upinzania kama vita. Kutokana na umbumbumbu wa wananchi kuhusu vyama vingi CCM ilibweteka ikajisahau na ikaendelea na "Viahadi Feki kama ilivyozoea" Wakati hayo yakiendelea wananchi wakawa wanafunguka taratibu kuelewa dhana ya vyama vingi. CCM ni ZIMWI HATA KULE IRINGA!! CCM ni kama jini mahaba kwa wananchi wa Iringa ambalo kamwe hawataji liingilie ndoa yao na Chadema!!!
CCM ni JINI MAHABA
Wana-Arusha wanataka CHADEMA. Wanaishi na kuiamini CHADEMA. Mioyo yao inaongozwa na CHADEMA. CHADEMA inapendwa kwakuwa inahoji,inaahidi,inafanya pamoja na wananchi,inazungumza nao na kushiriki nao kijamii.Wako hivyo. Kwa hapa Arusha, 'chama tawala' ni CHADEMA. Hali hii inakera watawala-CCM. CCM wanajiona wanapuuzwa Arusha. Hawasikilizwi.Hawaheshimiwi. Hawashangiliwi. Hawasindikizwi. CCM inataka 'kutawala' Arusha.Ni jambo linalowezekana.
Ukombozi utaanzia Arusha mkuu...!!!
Tulia uone..