Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,586
- 4,274
Wewe sikia tu kwenye radio na TV; Siku majambazi wakikuingilia nyumbani kwako ...utakuja hapa ukiwa na mawazo mapya!Hii kuua watu,badala ya kuwakamata na kuwapeleka mahakamani imekuwa fashion!
Sent using Jamii Forums mobile app