LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Taarifa ni kwamba nassari atafunguliwa kesi ya uhaini kwa kauli yake kuwa yeye ni rais wa jamhuri ya Meru na kwamba atamzuia kikwete kuingia arusha iwapo serikali itaendelea na mpango wake wa kuwahamisha wamachinga katika mji wa arusha. babanga atafunguliwa mashitaka ya kumdhalilisha mkuu wa nchi baba ritz
Ni mimi kachero mkuu wa polisi!
Polisiccm wanajidanganya sana ktk Nchi hii.
Hebu ngoja siku itafika tu na wewe unayejiita kachero wa police na utajuta kuwa na wasifa huo na ukawepo hapa JF!
Yani hakunaga Duniani Nguvu ya Umma iliyowahi kudai haki na kushindwa.
Mi nahisi siku si nyingi tutajuaga tunaelekea wapi ktk Nchi hii ya Asali na Maziwa inayofaidisha watu wawili watatu ktk wa 42M.