Mbowe anatakiwa kumweka kijana huyu chini na kumfundisha namna nzuri ya kufanya siasa. Kuwa mbunge kusimpe kiburi akafikia hatua ya kutoa kauli kama hizi.Kwa upande wa Nassari aliwataka wamachinga kuendelea na biashara zao bila kuogopa vitisho vya halmashauri kuwataka Jumatatu waondoke mitaani.
Nassari alisema Atatoa Amri ya kumzuia J.K Kukatiza Arusha kwani yeye Ni Raisi wa Arusha Na Lema ni Waziri Mkuu.
Hata mi nadhani hatokanyaga Arusha kutokana na aibu...
Nimekubaliana na wewe sehemu zote ingawa baadhi ya sehemu nimekubali kwa shingo upande lakini kwenye nyekundu nasema hapana, hivi maisha yalivyo magumu leo unawaambia wamama waliko sokoni waondoke waende wapi?Mbowe anatakiwa kumweka kijana huyu chini na kumfundisha namna nzuri ya kufanya siasa. Kuwa mbunge kusimpe kiburi akafikia hatua ya kutoa kauli kama hizi.
Well, kama kayaongea haya waziwazi, si vibaya akahojiwa tena akakemewa na kuachiwa. Atajifunza endapo atapewa karipio kali.
Tusishabikie kauli kama hizi, hazifai katika jamii yetu. Mtu anajitangazia utawala!? Mtu anahamasisha uvunjwaji wa sheria na kanuni za Halmashauri?
Labda kama aliongea tofauti na haya
Uwasilishaji wa hoja unaweza kumfanya mtu asielewe nini kilijiri.Nimekubaliana na wewe sehemu zote ingawa baadhi ya sehemu nimekubali kwa shingo upande lakini kwenye nyekundu nasema hapana, hivi maisha yalivyo magumu leo unawaambia wamama waliko sokoni waondoke waende wapi?
Kama manispaa walitakiwa na kabla Lema akiwa mbunge walikusha kubaliana kuwa ikifikia wakati wa kufanya ukarabati maeneo ya soko kuu wafanya biashara waliko maeneo hayo wataonyeshwa sehemu ya kufanyia biashara kwa muda.
Leo Lema siyo mbunge wanatoa amri watu waondoke mbaya zaidi wanawaambia si mlikuwa mnashabikia Lema, maana yake wanafanyiwa hayo kwasababu wanamshabikia lema na manispaa kuna vijana wamefukuzwa kazi kisa walikuwa wana muunga mkono lema sasa kama Nasari akikaa kimya nani unataka awasemee....
Mbowe anatakiwa kumweka kijana huyu chini na kumfundisha namna nzuri ya kufanya siasa. Kuwa mbunge kusimpe kiburi akafikia hatua ya kutoa kauli kama hizi.
Well, kama kayaongea haya waziwazi, si vibaya akahojiwa tena akakemewa na kuachiwa. Atajifunza endapo atapewa karipio kali.
Tusishabikie kauli kama hizi, hazifai katika jamii yetu. Mtu anajitangazia utawala!? Mtu anahamasisha uvunjwaji wa sheria na kanuni za Halmashauri?
Labda kama aliongea tofauti na haya
Hao polisi wangekuwa kila mara wanawaita wezi na mafisadi kuwahoji na kuwachukulia hatua zamani ningerudisha kadi yangu ya CDM. hawa wezi na mafisadi wanaoitafuna nchi hii ndiyo wanataka kutupeleka kwenye vita ya sisi wenyewe kwa wenyewe.
Lakini badala yake ni polisi na 'umahiri' wao wa kutafsiri masuala ya siasa, hasa kauli za viongozi wa upinzani, sijui wamepata mafunzo wapi ya kutafsiri kauli hizo. Pambaff kabisa!!!!
Nimepita mitaa hapa mjini kila kona naona gari za polisi inaelekea intelejensia inaonyesha kinaweza kunuka...!?
Mkuu ngoja nikupe pole kwanza kwa kipigo mlicho pewa....Pili kama kesho machinga wakikinukisha nitaungana nao....Mkubwa!
Nakwambia hawa hawana sumu hata punje!
Na siyo nia yao kuwepo hapo ila ni utawala mbovu wa huyo endengenye ila ngoja ataondoka!
Huu utumwa kwa hawa mapolisiccm Mi nao haina muda kuisha.
Andengenye anataka kuondoka Arusha akiwa amefanya booking mapema katika serikali ya chadema baada ya kusimamia kwa ukamilifu mauaji ya wananchi wasio na hatia January 5, 2011.
Hata kama ccm watasaidiwa na policcm kukabiliana na Chadema ukweli ni kwamba hawataweza kamwe kushinda nguvu ya umma. Bila shaka jana nyomi iliyomwagika tahrir square ya Arusha ilikuwa salamu tosha kwa ccm na vibaraka wake wote.
Hii habari kama ni tetesi ijulikane ni tetesi.
Polisi nao wamechoka kutumiwa kama kinga na ccm. Huenda wamewaita ili polisi wajiunge na CHADEMA. Yote yanawezekana
Mkuu ngoja nikupe pole kwanza kwa kipigo mlicho pewa....Pili kama kesho machinga wakikinukisha nitaungana nao....
Ngoja nifatilie mechi ya SIMBA na Yanga nipungeze stress maana siasa za bongo duuuuuuuuuuuuuuuuu..