Kiukweli nilivyokuwa naisikia Arusha na nilivyofika ile picha niliyokuwa nayo kichwani kutokana na kusikia jiji hilo na sifa zake haikwendana kabisa. Nipa kaaida sana, Kilichopo ni uwepo wa watu wa mataifa mbalimali, Watalii wa mbuga na Mlima kilimanjaro tu. Lakini kwa mjini ni kawaida sana!