bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,113
- 3,116
- Thread starter
- #81
jamani arusha ni kitu nyingine kama unafikiri natania njoo arusha unywe bia zako ulete za ki darisalame uone maneno yako.
kule bwana hawatanii,nilishuhudia moja pale sakina jamaa waliingia kuchukua mauzo kwenye super market palikuwa hapatoshi.
wazee wa kazi walipopiga zao kumbe machalii nao wanazo.
dar ukipiga simu polisi wanakuja baada ya saa moja arusha polisi mpaka wahakikishe zimetulia wanaongeza masaa mawili ndipo wanakuja.
nakumbuka sana huo wizi mkuu ilikuwa balaa wezi walifunga mtaa mzima.