trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Watu kama hawa bana....ili mradi tu wote tujue na yeye anayo na anafahamiana na watoto wa vigogo...sisi hatutaki kujua yote hayo..hoja ni kwamba kwanini arusha umiliki wa silaha umekubuhu
Na anaweza akawa muongo vilevile...
Kama vipi,aattach certificate ya Police ya kumruhusu kuimiliki... Na si kazi ngumu,jina lake afiche... Kama yeye mwanaume kweli tutaona...!