THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Zikiruhusiwa Mbeya sasa !?
Loading...100%
Network Connected !
Zikiruhusiwa Mbeya sasa !?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dalili ya ushamba. Wameambukizwa na nchi jirani ya Kenya.
Hata sehemu za Starehe utawakuta na Silaha , Bastola au Kisu mfukoni, ni wanaume wasiojiamini.
ni mimi hapa
Mbeya wavumilivu sana mkuu, ila inapobidi ndio mawe yatatumika au ngumi na wala sio visu au mapangaSearching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Zikiruhusiwa Mbeya sasa !?
Kama mnakumbuka kuna mwana JF alileta habari ya jamaa yake ambaye pia ni wa JF alifariki wakati bastola iliyokuwa kiunoni kufyatuka na kurarua tumbe wakati akiendesha gari
Arusha watu huku wanajilinda na ni waoga sana
umesahau nondo.Mbeya wavumilivu sana mkuu, ila inapobidi ndio mawe yatatumika au ngumi na wala sio visu au mapanga
hivi bado unaendaga club ? Duh hii ni kali.
mi nilidhani utasema igunga ndio kuna ushamba!View attachment 47811
Silaha ni muhimu sana pande hizi lasi hivyo wezi na majambazi watakua wageni wako kila siku. So kua na bastola sanasana kwa watu wa mererani ni kwaajili ya ulinzi binafsi, kua na beto kwa vijana wa ngalelo ni kwaajili ya matumizi yao binafsi ya kukabia au kuleta fujo mtaani ,kua na sime kiunoni kwa wamaasai ni kwaajili ya ulinzi pia .so kila mtu anakazi na silaha yake ,hata mimi ninakazi na yangu ukiniletea maniaje under reasonable circumstances ntakushughulikia ipasavyo.
wapi wewe inaonyesha we ni SIZITAKI HIZI MBICHI . 9mm ina raha yake bwana.
Uwe na akili timamu.