Wakuu Wana Waumini Wa Mabadiliko Ya Kweli Na Uhuru Wa Kweli
Mie Binafsi Kama Mzawa Na Mkazi Wa Arusha Ni Mumini Wa Mabadiliko Na Hiv Ndivyo Ilivyo Kwa Wengi Ndani Ya Mkoa Huu
Japo Tuna Bahat Mbaya Lakini Hatukati Tamaa Mwaka 1995 ulimchagua Makongoro Atuwakilishe Dodoma Ila Tukajajua Kuwa Makongoro Ni Muhuni Tu Tukajikuta Tunarejea Ccm Lakini Mwaka 2010 tukamwona kijana aloonyesha ni mwana mapinduz yakweli Godbles Lema Bila Ajizi Tukamchagua Sasa Tumekuja Kuona Kuwa Naye Ni Kama Makongoro Tunahitaji Mbunge Kama Lisu Au Mnyika Ccm No Arusha Hom Boy Wetu Kinana Anajua Ila Tunataka Mbunge Bora Ndani Ya Chama Bora.
Mie Binafsi Kama Mzawa Na Mkazi Wa Arusha Ni Mumini Wa Mabadiliko Na Hiv Ndivyo Ilivyo Kwa Wengi Ndani Ya Mkoa Huu
Japo Tuna Bahat Mbaya Lakini Hatukati Tamaa Mwaka 1995 ulimchagua Makongoro Atuwakilishe Dodoma Ila Tukajajua Kuwa Makongoro Ni Muhuni Tu Tukajikuta Tunarejea Ccm Lakini Mwaka 2010 tukamwona kijana aloonyesha ni mwana mapinduz yakweli Godbles Lema Bila Ajizi Tukamchagua Sasa Tumekuja Kuona Kuwa Naye Ni Kama Makongoro Tunahitaji Mbunge Kama Lisu Au Mnyika Ccm No Arusha Hom Boy Wetu Kinana Anajua Ila Tunataka Mbunge Bora Ndani Ya Chama Bora.