Arusha morden school yauzwa bilion 4 kwa kanisa katoliki.

Shule inayofahamika sana mjini arusha kama arusha morden school. iliyoko eneo la kisongo imeuzwa sh bilion 4 katika kanisa katoliki mkoani humo.akizungumza katika ibada ya misa takatifu katika kanisa la roho mt lililoko eneo la ngerenaro padre Ruwaich amesema !Tutanunua shule ya arusha morden kwa gharama ya sh bilion 4 eneo ambalo lina ukubwa wa ekari 25 na mpaka hiv sasa ekari 9 zimeshajengwa!

hata kama ingekuwa 10 bilioni wanaweza kununua. Unafanya mchezo na MoU!! kila mwaka wanakwapua pesa ya umma zaidi ya 91 bilioni.
 
Mkuu. I've read the article fully. The writer is good at explaining. The issue is he has very little knowledge on the bible and the church is condemning. Few examples.
1. How on earth can one say that Peter was not among Jesus's disciples?
2. Pick any catholic book and look for the commandments against those in the bible and see if any is missing.
ADVICE: There's no way can a medical doctor challenge an engineer when it comes to technical things. Quoting the bible doesn't mean you know the meaning of it. It's wise to understand that you can't get the meaning of the lines in the bible by just picking few and elaborate them. All lines are interrelated.
thus right
 
msisahau kule Dodoma kabla haujafika Dodoma mjini kuna kiwanja sijajua hekali ngapi kwenye hicho kiwanja wanajenga shule kuanzia nursery mpaka chuo kikuu............na ujenzi umeshaanza.
 
na bila kusahau Kanisa Katoliki limeshapewa kibali cha kufungua matawi kwa ajili ya Bank ya Mkombozi.........so wapo kwenye mchakato.

wale walalamikaji mpo?
 
Usipojenga shule haya ndio matunda:

aga2.jpg
 
Kipis
kanisa katoliki lipo kibiashara zaidi dini ni kama sehemu ya mti wenye kivuli tu!

Mkuu, hiyo siyo kweli. Kama hujui basi ujue kwamba Kanisa Katoliki lipo kuendeleza kazi aliyokuwa anafanya Yesu Kristu hapa duniani enzi za uhai wake. Yesu Kristu alikuwa anafundisha na kuponya wagonywa. Soma Injili na utaelewa maisha yake. Alikuwa anaitwa MWALIMU. hivyo usishangae kwa WAKATOLIKI kufungua shule nyingi na hospitali nyingi-kama vile hawana akili nzuri vile-ili kufundisha watu wote na kuponya watu wote. Kwenye masuala ya kipato huwa wanatoa pia kozi za kilimo bora, ufugaji bora, ufundi kama vile useremala (Yesu mwenyewe alikuwa seremala vilevile), uashi, na kazi za ujasiriamali na kusisitiza mfumo wa familia ya mke mmoja na mume mmoja (Yesu aliishi kwenye familia ya namna hiyo). Kuwafungia kuanzisha shule na hospitali ni kama vile kuwadhulumu wasiwe na mchango kwenye Taifa la Mungu. Ni kuwaoonea sana na wanaweza kulalamika. Baba wa Taifa alipotaifisha shule zote walimwendea na kumuomba awaruhusu kufungua angalao chache kwa ajili ya kuwaendeleza wasichana na walipewa kibali. Baada ya kuwa na Sera ya Elimu ya 1995 ambayo iliruhusu tena uwekezaji katika elimu. Maaskofu walisita kuanzisha shule nyingine kwa hofu kwamba zingetaifishwa mpaka Serikali ilipowataka wafanye hivyo na wao kueleza hofu yao. Ili kuwahakikishia kwamba hakuna utaifishaji wakawa na MOU ambayo Kanisa litajenga na kuendesha hizo shule na Vyuo na Serikali itasaidia pale inapobidi (ni Ubia wa aina fulani). Mchango wa Serikali katika shule hizo ni pamoja na kuzifanyia ukaguzi, kulipia ada hasa kwa Vyuo Vikuu (Bodi ya Mikopo). Kudahili na kuwapelekea wanafunzi kupitia TCU-wao hawafanyi udahili. Hospitali nazo zilo kwenye utaratibu wa aina hiyohiyo. Faida ambayo Kanisa Katoliki linapata ni kujisikia LIMEFUNDISHA NA KUPONYA WAGONJWA
 
Na bado Pugu Sekondari iko kwenye pipeline mkuu kurudishwa kwa wenyewe wakatoliki, forodhani tayari pale kuna kindergarten, Primary na A level. Kule Pugu sekondari kuna eneo kama ekari 25 nje ya zile za sekondari, hivyo kuna mpango wa kuweka St. Joseph's Millenium University!!
Point to note!! Pale St Joseph's High School (former Forodhani) ni vipanga wakali wapo pale, na mtihani wa entrance ni balaa hakuna cha shangazi wala mjomba!! Quality education forever!! Viva Catholism!!


Jamani inatosha, mmewakamia mno hawa watoto wa Kijakazi Hagari. Hiyo dozi imetimia. kama wasipoelewa na kubadilika basi hata akishuka Yesu hawatawelewa.
 
msisahau kule Dodoma kabla haujafika Dodoma mjini kuna kiwanja sijajua hekali ngapi kwenye hicho kiwanja wanajenga shule kuanzia nursery mpaka chuo kikuu............na ujenzi umeshaanza.

shule ya sekondari ilifunguliwa mwaka huu inaitwa St. PETER, bado hivyo vingine
 
Shule inayofahamika sana mjini arusha kama arusha morden school. iliyoko eneo la kisongo imeuzwa sh bilion 4 katika kanisa katoliki mkoani humo.akizungumza katika ibada ya misa takatifu katika kanisa la roho mt lililoko eneo la ngerenaro padre Ruwaich amesema !Tutanunua shule ya arusha morden kwa gharama ya sh bilion 4 eneo ambalo lina ukubwa wa ekari 25 na mpaka hiv sasa ekari 9 zimeshajengwa!

Fafanua vizuri kama ifuatavyo
Kanisa Katoliki Jimbo la Arusha limenunua Shule ya Modern kwa madhumuni ya kujenga chuo cha malezi ya vijana. Mpango wa muda mfupi wa kanisa ni kuhamishia shule ya wasichana ya St. Joseph (Ngarenaro) ili majengo ya shule ya Ngarenaro yatumike kuanzia Tawi la Chuo Kikuu cha Mt. Augustino
 
Hapo ndipo ninapolipemnda kanisa langu big up naamini hata govt isipo niajiri kanisa litaniajiri
 
hata kama ingekuwa 10 bilioni wanaweza kununua. Unafanya mchezo na MoU!! kila mwaka wanakwapua pesa ya umma zaidi ya 91 bilioni.

No research, no right to speak. Hebu leta uthibitisho wa madai yako? Kwani hao waliochanga hizo fedha ni wat wennye uhusiano na MoU?. Inaelekea hata MoU hujui ni ninini.
 
Jamani inatosha, mmewakamia mno hawa watoto wa Kijakazi Hagari. Hiyo dozi imetimia. kama wasipoelewa na kubadilika basi hata akishuka Yesu hawatawelewa.
Am proud to be Christian and very proud to be Catholic Amen Amen katika Bwana.
 
Back
Top Bottom