Shule inayofahamika sana mjini arusha kama arusha morden school. iliyoko eneo la kisongo imeuzwa sh bilion 4 katika kanisa katoliki mkoani humo.akizungumza katika ibada ya misa takatifu katika kanisa la roho mt lililoko eneo la ngerenaro padre Ruwaich amesema !Tutanunua shule ya arusha morden kwa gharama ya sh bilion 4 eneo ambalo lina ukubwa wa ekari 25 na mpaka hiv sasa ekari 9 zimeshajengwa!
M o U !
thus rightMkuu. I've read the article fully. The writer is good at explaining. The issue is he has very little knowledge on the bible and the church is condemning. Few examples.
1. How on earth can one say that Peter was not among Jesus's disciples?
2. Pick any catholic book and look for the commandments against those in the bible and see if any is missing.
ADVICE: There's no way can a medical doctor challenge an engineer when it comes to technical things. Quoting the bible doesn't mean you know the meaning of it. It's wise to understand that you can't get the meaning of the lines in the bible by just picking few and elaborate them. All lines are interrelated.
wanafanyia mihadhara.ha ha ha ha salam aleikum ustadhi wangu ally kombo. 4bn ni vijicent kwa katoliki, MOU ni kwa mambo mazito kama Bugando ili hata wewe ustadhi usikose matibabu! Vipi nyie MOU zenu mnafanyia nini?
Kipis
kanisa katoliki lipo kibiashara zaidi dini ni kama sehemu ya mti wenye kivuli tu!
Na bado Pugu Sekondari iko kwenye pipeline mkuu kurudishwa kwa wenyewe wakatoliki, forodhani tayari pale kuna kindergarten, Primary na A level. Kule Pugu sekondari kuna eneo kama ekari 25 nje ya zile za sekondari, hivyo kuna mpango wa kuweka St. Joseph's Millenium University!!
Point to note!! Pale St Joseph's High School (former Forodhani) ni vipanga wakali wapo pale, na mtihani wa entrance ni balaa hakuna cha shangazi wala mjomba!! Quality education forever!! Viva Catholism!!
msisahau kule Dodoma kabla haujafika Dodoma mjini kuna kiwanja sijajua hekali ngapi kwenye hicho kiwanja wanajenga shule kuanzia nursery mpaka chuo kikuu............na ujenzi umeshaanza.
Shule inayofahamika sana mjini arusha kama arusha morden school. iliyoko eneo la kisongo imeuzwa sh bilion 4 katika kanisa katoliki mkoani humo.akizungumza katika ibada ya misa takatifu katika kanisa la roho mt lililoko eneo la ngerenaro padre Ruwaich amesema !Tutanunua shule ya arusha morden kwa gharama ya sh bilion 4 eneo ambalo lina ukubwa wa ekari 25 na mpaka hiv sasa ekari 9 zimeshajengwa!
hata kama ingekuwa 10 bilioni wanaweza kununua. Unafanya mchezo na MoU!! kila mwaka wanakwapua pesa ya umma zaidi ya 91 bilioni.
Am proud to be Christian and very proud to be Catholic Amen Amen katika Bwana.Jamani inatosha, mmewakamia mno hawa watoto wa Kijakazi Hagari. Hiyo dozi imetimia. kama wasipoelewa na kubadilika basi hata akishuka Yesu hawatawelewa.